Wanaume mnalalamika sana, tumewachoka!

Wanaume mnalalamika sana, tumewachoka!

Haya, mm Nina elf 50..ni-pm location yako tukutane gest nikugegede short time, nkupe hela kila baada ya hapo kila mtu afate ustaarabu wake.

Au ww short time/bao moja unatoza sh ngap majoto

Kwani hujui sehemu wanakojiuza? nenda huko kimya kimya bila makelele
 
Kama issue ni kutumbua litumbua si unde kwa wauzaji matumbua? Kule hakuna malalamishi maana ni biashara. Lakini unaacha wauzaji unakuja kwa waliotulia tuuu unataka bure! ukipigwa kamzinga unatoa makelele weeee!
Hiyo sentensi unayosema "ukipigwa kamzinga" ndio kujiuza kwenyewe huko, tofauti yake ni kwamba hujipangi barabarani kama wale wajipangao

Ni kama vile kupokea rushwa kisha unaulizwa unakataa kwa kusema nimepokea lakini sio rushwa ni takrima
 
Nimefanya utafit mdogo tu humu nimegundua wanaume mnalalamika sana kuhusu wanawake kuwaomba pesa, kuwapiga mizinga, kutotosheka na mnachowapa na mengine kibao. Jamani eee hebu acheni kulalamika kwa kuwa hayo mmeyataka wenyewe. Unatafuta mwanamke ili uwe unamwaga grisi chafu hapo na unataka akuhurumie asikuombe chochote! Haiwezekani hata kidogo. Wewe kama unajiona unahitaji mwanamke kwa nini huoi? kwa nini usimchukuwe jumla? muweke ndani maisha yaendeleee....Lakini hii biashara ya malalamiko yasiyo ya msingi humu tumeichoka! Acha wawapige mizinga hadi mtie akili na kutafuta ufumbuzi ambao ni wa kubeba jumla. Hamjifunzi wa baba zenu? hamuoni wametulia na mama zenu?

Tofauti na hivyo mtaishia kulishwa malimbwata, kudharauliwa, kupoteza muda kuwaza maumivu ya kutendwa badala ya kuwaza na kupanga maisha. Ukweli ni kwamba simhurumii hata kidogo mwanamume anayepigwa mizinga! Pigweni tuuuuuuu.... good day kwa wapigwa mizinga wote

Bora waendelee tu hivyo hivyo, kuleta ndani ni balaa zaidi....
 
Hiyo sentensi unayosema "ukipigwa kamzinga" ndio kujiuza kwenyewe huko, tofauti yake ni kwamba hujipangi barabarani kama wale wajipangao

Ni kama vile kupokea rushwa kisha unaulizwa unakataa kwa kusema nimepokea lakini sio rushwa ni takrima

Usiniwekee maneno nje ya uzi wangu. Nimesema nimechoshwa na makelele ya wapigwa mizinga.... jamani kaoeniiii
 
Inakuchukua muda gani kujua kuwa mwanaume yupo serious na wewe? Kupenda vya bure ni udhaifu wa mtu na hii ipo kwa jinsia zote. Wanawake wa kileo acheni kuendekeza njaa!
 
majoto mimi najitolea kukubeba wewe jumla. Njoo pm iko wazi kwa ajiri yako MTU wangu!!!
 
Inakuchukua muda gani kujua kuwa mwanaume yupo serious na wewe? Kupenda vya bure ni udhaifu wa mtu na hii ipo kwa jinsia zote. Wanawake wa kileo acheni kuendekeza njaa!

Ukitaka kumkimbiza mwanamume mpenda vya bure muombe pesa. Utakapoona unaombwa pesa at the beginning ujue unatishiwa nyau ili ukimbie...ukitoa zinaliwa na zinaombwa nyingine. Muonyeshe mwanamke kama uko serious hatakuomba pesa, na akikuomba jiamini kumwambia mapenzi/mahusiano si kuombana pesa, atakuheshimu na kukuangalia kwa upya kwamba uko serious.
 
Kwani hujui sehemu wanakojiuza? nenda huko kimya kimya bila makelele


Una-support kupiga vizinga wanaume, sasa wewe una tofauti gani na wale wadada wanaosimama barabarani kujiuza? Kwenye hiyo elf 50 wote tunapata tunachokitaka mimi napata sex, wewe unapata hela majoto
 
Una-support kupiga vizinga wanaume, sasa wewe una tofauti gani na wale wadada wanaosimama barabarani kujiuza? Kwenye hiyo elf 50 wote tunapata tunachokitaka mimi napata sex, wewe unapata hela majoto

Sijui kama umeuelewa uzi wangu kama nilivyokusudia. Kupigwa mzinga ni maamuzi yako huna haja ya kupiga kelele, la kama hutaki kupigwa mzinga oa ili uishi bila bugudha..... vya bure hakunaaa... kama unafikiri kuoa ni gharama basi kutooa na kutaka kusuuza dushe lako ni gharama zaidi. sasa amua kuoa au kupigwa mzinga kimya kimya.
 
Nimefanya utafit mdogo tu humu nimegundua wanaume mnalalamika sana kuhusu wanawake kuwaomba pesa, kuwapiga mizinga, kutotosheka na mnachowapa na mengine kibao. Jamani eee hebu acheni kulalamika kwa kuwa hayo mmeyataka wenyewe. Unatafuta mwanamke ili uwe unamwaga grisi chafu hapo na unataka akuhurumie asikuombe chochote! Haiwezekani hata kidogo. Wewe kama unajiona unahitaji mwanamke kwa nini huoi? kwa nini usimchukuwe jumla? muweke ndani maisha yaendeleee....Lakini hii biashara ya malalamiko yasiyo ya msingi humu tumeichoka! Acha wawapige mizinga hadi mtie akili na kutafuta ufumbuzi ambao ni wa kubeba jumla. Hamjifunzi wa baba zenu? hamuoni wametulia na mama zenu?

Tofauti na hivyo mtaishia kulishwa malimbwata, kudharauliwa, kupoteza muda kuwaza maumivu ya kutendwa badala ya kuwaza na kupanga maisha. Ukweli ni kwamba simhurumii hata kidogo mwanamume anayepigwa mizinga! Pigweni tuuuuuuu.... good day kwa wapigwa mizinga wote
there is no way wewe umeolewaa....kama umeolewa mmeo anajutaaa anatamani apewe nafasi ya kuchagua mkee mwinginee[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
majoto nafasi ya kukwambia kuwa mapenzi sio pesa nikiipata unadhani utanielewa? Hivi huwa mnatumia muda kiasi gani kujua kuwa mwanaume yupo serious? By the way mnapiga mizinga isiyoeleweka kutaka pesa kwa malengo ya kutupima aisee hichi kipimo sio acha tu tutoke nduki ha ha ha ha!
 
Sijui kama umeuelewa uzi wangu kama nilivyokusudia. Kupigwa mzinga ni maamuzi yako huna haja ya kupiga kelele, la kama hutaki kupigwa mzinga oa ili uishi bila bugudha..... vya bure hakunaaa... kama unafikiri kuoa ni gharama basi kutooa na kutaka kusuuza dushe lako ni gharama zaidi. sasa amua kuoa au kupigwa mzinga kimya kimya.


Hiyo point yako ya "vya bure hakuna" inamaanisha ninyi mnatuuzia *k* sema tu ww unashindwa kuwa honest about it. Bhasi kuanzia leo na mimi ntaanza tabia ya kukomoa wadada kwa kuwaomba pesa ili ngoma iwe droo majoto
 
Back
Top Bottom