majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,595
- 4,775
- Thread starter
- #61
majoto nafasi ya kukwambia kuwa mapenzi sio pesa nikiipata unadhani utanielewa? Hivi huwa mnatumia muda kiasi gani kujua kuwa mwanaume yupo serious? By the way mnapiga mizinga isiyoeleweka kutaka pesa kwa malengo ya kutupima aisee hichi kipimo sio acha tu tutoke nduki ha ha ha ha!
Kuna vitu vingi tu utavijua kwa mtu aliyeserious ikiwa ni pamoja na muonekano wake nashindwa kuvielezea hapa watu hawafanani. Hata wewe unatakiwa umfate mtu aliye serious sio mpiga mizinga .... he he heeeee mbona mtatoka nduki kama kipanga....