Wanaume mnalalamika sana, tumewachoka!

Wanaume mnalalamika sana, tumewachoka!

Ukitaka kumkimbiza mwanamume mpenda vya bure muombe pesa. Utakapoona unaombwa pesa at the beginning ujue unatishiwa nyau ili ukimbie...ukitoa zinaliwa na zinaombwa nyingine. Muonyeshe mwanamke kama uko serious hatakuomba pesa, na akikuomba jiamini kumwambia mapenzi/mahusiano si kuombana pesa, atakuheshimu na kukuangalia kwa upya kwamba uko serious.
Napingana na ww kwenye hili si wanawake wote.
Na si kwa wanaume wote. Binafsi nina kazi inayonipa kipato kizuri tu.

Tatizo wanawake ninaokutana nao , wanawaza kuwa nawatamani..kumbe nina malengo kabisa ya wazi. Mwingine nilishampeleka hadi nyumbani.

Kuhudumia si ishu kwangu.. nahudumia uchumba hadi ndoa. Tatizo ni pale mwanamke anapogeuza kuwa ww ndio mwajiri wake.
Anakufanya baba mzazi na wakati hata mahari hujatoa.
Kuna pattern flani hiv za uombaji pesa gold diggers huwa wanatumia sana.. na hiki kitabia ndio kipo mjini.
Mm kama mwanaume nilie serious ukinionyesha hivyo vitabia vya kuomba pesa bila mpangiloo... lazima niingie hofu.
 
Una concept but hii haifanyi kazi kwa wanawake wote. baadhi ya wanawake hata ukiwa na malengo na umeonyesha dhahiri bado watapiga vibomu.

Ni hivi nimeshawa kuwa na mwanamke, nikampeleka hadi nyumbani . mwanzoni alikuwa powa tu.. lakin baada ya kumtambulisha vibomu vikaanza.. vocha mm, chakula mimi, ada mimi( alikuwa anasoma), hela ya weekend mimi.

By then sijatoa mahar hapo. Na nilimuonya lakini akakataa kujirekebisha.
Nikampiga disco kwenye matokeo maana alishindwa mitihani yangu.


Pole. Ninahisi huyu mwanamke ulianza wewe kumpa pesa kabla hata hajakuomba. Sasa aliponogewa na kuanza kukuomba ukaanza kumuona hafai.... Kama haikuwa hivyo ulifanya vema kumpiga kubut maana hafai... wapo wanawake wenye tabia hiyo!
 
Kuna wanaume wana mapenzi dhati ila sio wepesi kutoa toa pesa hovyo kama wendawazimu na hii ipo pia kwa baadhi ya wanawake wanakuwa na mapenzi ya dhati, lakini hawawezi kukupa nafasi ya kuchezea mwili wake kabla ya ndoa hawa watu wapo na tunaishi nao kwenye jamii. Sasa inapotokea eti mwanaume umekutana na mwanamke mkaanzisha mahusiano baada ya siku moja, mbili, tatu au wiki mwanamke huyo anaanza mizinga isiyokuwa na kichwa wala miguu eti wenyewe wanaita ndio kipimo... Aisee mimi naona hakuna kipimo wala nini hizo ni njaa tu tena wakati mwingine unakutana na mwanamke smart, lakini unashangaa anakuomba vitu visivyoeleweka eti kipimo... Kipimo!?
Huu ndio ukweli ambao hawataki kuusikia.
Mwanaume yuko serious lakin mwanamke hayuko serious..
 
Nimecheka tu... maana si kwa mchiriku huu Detective J ... nimekuelewa bana illla ukweli unabaki pale pale. Unajiona unataka burudani tafuta mke, nje ya mke mizinga haikwepeki.
Unataka tupige puchu wakat mpo Noo ni mwendo wa kupiga mbupu mpaka mnyooke blalifuu
 
Napingana na ww kwenye hili si wanawake wote.
Na si kwa wanaume wote. Binafsi nina kazi inayonipa kipato kizuri tu.

Tatizo wanawake ninaokutana nao , wanawaza kuwa nawatamani..kumbe nina malengo kabisa ya wazi. Mwingine nilishampeleka hadi nyumbani.

Kuhudumia si ishu kwangu.. nahudumia uchumba hadi ndoa. Tatizo ni pale mwanamke anapogeuza kuwa ww ndio mwajiri wake.
Anakufanya baba mzazi na wakati hata mahari hujatoa.
Kuna pattern flani hiv za uombaji pesa gold diggers huwa wanatumia sana.. na hiki kitabia ndio kipo mjini.
Mm kama mwanaume nilie serious ukinionyesha hivyo vitabia vya kuomba pesa bila mpangiloo... lazima niingie hofu.

Nakubaliana na wewe na tusitoke nje ya uzi.
 
majoto . . . Mimi binafsi ni mkweli, sijawahi kujenga mahusiano na mwanamke kwa kumuonesha namiliki nini, au kumjengea mazingira ya kumvuta kwa pesa. Siku zote huwa nakwenda kuanzisha mahusiano nikiwa mimi kama mimi huwa nakwenda na vitu vitatu; akili, mdomo na bahati niliyozaliwanayo, pesa hata kama ninazo naziacha nyumbani. Kwa kweli nimegundua mwanaume awe mkweli, asiwe mkweli mizinga kwenu haiepukiki tena mizinga yenyewe haina kichwa wala miguu eti baby naomba 50,000 kuna lotion nataka kununua... Ha ha ha ha njaa njaa njaa! majoto wewe umeolewa?
 
“Katika kila watanzania wanne mmoja ana matatizo ya akili” - Mh. Ummy Mwalimu
 
K hata hzo za kuoa zinaenda kupukuliwa nje ya ndoa. Wanawake siku hz hamna.ukiona inafaa zalisha lea mtoto ndoa waafate kwingine maana wanapenda kuto ombesha hovyo hovyo
 
Wanaolalamika sio wanaochunguza tabia, ni wale wanaotaka vya bure. Kumchunguza mtu ni muhimu sana
Hivi tuambie unaweza je kumtambu mtu kuwa anataka vya bure, kabla hata hajakuomba papuchi?
 
Kuna wanaume wana mapenzi dhati ila sio wepesi kutoa toa pesa hovyo kama wendawazimu na hii ipo pia kwa baadhi ya wanawake wanakuwa na mapenzi ya dhati, lakini hawawezi kukupa nafasi ya kuchezea mwili wake kabla ya ndoa hawa watu wapo na tunaishi nao kwenye jamii. Sasa inapotokea eti mwanaume umekutana na mwanamke mkaanzisha mahusiano baada ya siku moja, mbili, tatu au wiki mwanamke huyo anaanza mizinga isiyokuwa na kichwa wala miguu eti wenyewe wanaita ndio kipimo... Aisee mimi naona hakuna kipimo wala nini hizo ni njaa tu tena wakati mwingine unakutana na mwanamke smart, lakini unashangaa anakuomba vitu visivyoeleweka eti kipimo... Kipimo!?
Siku mbili mbona nying sana! yaani , yaani unamtoa mdada out, unalipa bili zote, tuseme hana usafiri una offer kumrudisha nyumbani; ukimshisha hata huja maliza mtaa wa kwao unatumiwa meseji eti umeme umeisha nitumie pesa nikanunue. hii ni hatari sasa sijui kwa mjibu wa mleta uzi hapo mtu anakuwa amekupima vipi kuwa hauko serious wakati umekaa nae ummekula, kunywa K hujamuomba mpaka una mrudisha kwa
 
Hii yote msingi wake ni papuchi, papuchi ni kitu nyingine kabisa
 
Tatizo lao kubwa wengi wao ni wanapenda vya bure na sio majukumu.
Sio wanapenda vya bure. Wewe Kama unauza unasema ni pesa ngapi ili muelewane tu.

Huduma yenyewe humpi aafu unataka kupewa hela kila wakati.!!
Si afadhali akanunue wanaojipanga akimaliza anaacha Kash kila mtu anatawanyika
 
Unampa ela na mengineyo mwisho wa siku utaskia ooh ana kibamia, mara hajui kitu
 
Back
Top Bottom