Wanaume mnanini mnanikera sana

Wanaume mnanini mnanikera sana

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
SIpo single ila nipo yaani unakuwa hujielewi kama upo single au haupo.

Sasa ni hivi na mshikaji wangu. Sio mpenzi tunapendaga kwenda outings kula lunch nakunywa . Kazi zetu sio za kujipangiwa . Okay sasa huyo mwana, sio hanioni mie wakike nope kanichukulia mie mshikaji tu hajaweka akilini mapenzi.

Ila sio siri mie na mpenzi wake anatuboa akishaona wanawake wenye matako makubwa anaacha hata kula anawaangalia sasa ukute ana maziwa makubwa kama nicole wa huba anazima . Sana . Meaning anatoweka gafla . Pap mie kumzingatia kumbe mwana anaenda kumsoundisha anachukua namba . Halafu baada ya siku mbili anakusimulia . Nikauliza kwani wasio nalo shida nini maana hata wangu before ndio hiyo.

Anaacha kila kitu hadi wewe anamsalimia kapagawa kwani huwa shida nini unakuta mwana anaacha familia yake yotekwenye gari anapiga macho hadi gari inapata ajali.

Hebu mfunguke nyie wazee shida nini unamke fine but mnaang'aza mimacho hii nikero.
 
SIpo single ila nipo yaani unakuwa hujielewi kama upo single au haupo.

Sasa ni hivi na mshikaji wangu. Sio mpenzi tunapendaga kwenda outings kula lunch nakunywa . Kazi zetu sio za kujipangiwa . Okay sasa huyo mwana, sio hanioni mie wakike nope kanichukulia mie mshikaji tu hajaweka akilini mapenzi.

Ila sio siri mie na mpenzi wake anatuboa akishaona wanawake wenye matako makubwa anaacha hata kula anawaangalia sasa ukute ana maziwa makubwa kama nicole wa huba anazima . Sana . Meaning anatoweka gafla . Pap mie kumzingatia kumbe mwana anaenda kumsoundisha anachukua namba . Halafu baada ya siku mbili anakusimulia . Nikauliza kwani wasio nalo shida nini maana hata wangu before ndio hiyo.

Anaacha kila kitu hadi wewe anamsalimia kapagawa kwani huwa shida nini unakuta mwana anaacha familia yake yotekwenye gari anapiga macho hadi gari inapata ajali.

Hebu mfunguke nyie wazee shida nini unamke fine but mnaang'aza mimacho hii nikero.
pole sana
 
SIpo single ila nipo yaani unakuwa hujielewi kama upo single au haupo.

Sasa ni hivi na mshikaji wangu. Sio mpenzi tunapendaga kwenda outings kula lunch nakunywa . Kazi zetu sio za kujipangiwa . Okay sasa huyo mwana, sio hanioni mie wakike nope kanichukulia mie mshikaji tu hajaweka akilini mapenzi.

Ila sio siri mie na mpenzi wake anatuboa akishaona wanawake wenye matako makubwa anaacha hata kula anawaangalia sasa ukute ana maziwa makubwa kama nicole wa huba anazima . Sana . Meaning anatoweka gafla . Pap mie kumzingatia kumbe mwana anaenda kumsoundisha anachukua namba . Halafu baada ya siku mbili anakusimulia . Nikauliza kwani wasio nalo shida nini maana hata wangu before ndio hiyo.

Anaacha kila kitu hadi wewe anamsalimia kapagawa kwani huwa shida nini unakuta mwana anaacha familia yake yotekwenye gari anapiga macho hadi gari inapata ajali.

Hebu mfunguke nyie wazee shida nini unamke fine but mnaang'aza mimacho hii nikero.

Siwezi jibu kimantiki maana inaweza kuwa imekaa upande mmoja sana.

Ila nimegundua kuwa ukimsema mwenza wako ana makosa fulani fulani, kwanza jiangalie wewe mwenyewe una tabia kama hizo ?Je wakipita wanaume wanaomzidi mchumba wako kimuonekano na kipesa unawapa attention? Kama jibu ni ndio, hakuna haja ya kulalamika , samaki wote mliofanana mmekutana.
 
SIpo single ila nipo yaani unakuwa hujielewi kama upo single au haupo.

Sasa ni hivi na mshikaji wangu. Sio mpenzi tunapendaga kwenda outings kula lunch nakunywa . Kazi zetu sio za kujipangiwa . Okay sasa huyo mwana, sio hanioni mie wakike nope kanichukulia mie mshikaji tu hajaweka akilini mapenzi.

Ila sio siri mie na mpenzi wake anatuboa akishaona wanawake wenye matako makubwa anaacha hata kula anawaangalia sasa ukute ana maziwa makubwa kama nicole wa huba anazima . Sana . Meaning anatoweka gafla . Pap mie kumzingatia kumbe mwana anaenda kumsoundisha anachukua namba . Halafu baada ya siku mbili anakusimulia . Nikauliza kwani wasio nalo shida nini maana hata wangu before ndio hiyo.

Anaacha kila kitu hadi wewe anamsalimia kapagawa kwani huwa shida nini unakuta mwana anaacha familia yake yotekwenye gari anapiga macho hadi gari inapata ajali.

Hebu mfunguke nyie wazee shida nini unamke fine but mnaang'aza mimacho hii nikero.
Fahari ya macho kuona.
 
Siwezi jibu kimantiki maana inaweza kuwa imekaa upande mmoja sana.

Ila nimegundua kuwa ukimsema mwenza wako ana makosa fulani fulani, kwanza jiangalie wewe mwenyewe una tabia kama hizo ?Je wakipita wanaume wanaomzidi mchumba wako kimuonekano na kipesa? Kama jibu ni ndio, hakuna haja ya kulalamika , samaki wote mliofanana mmekutana.
HApana kwa upande wangu najitahidi kuwa naye kwa ufasaha niliye naye ni HB balaa anahela , hana kasoro natosheka na alivyoo mrefu kama mgalatia mweupe sauti nzuri mashallah yaani nilivyochifupi nikimkalia weeh ! I miss him sana
 
HApana kwa upande wangu najitahidi kuwa naye kwa ufasaha niliye naye ni HB balaa anahela , hana kasoro natosheka na alivyoo mrefu kama mgalatia mweupe sauti nzuri mashallah yaani nilivyochifupi nikimkalia weeh ! I miss him sana
Ni sawa ila chunguza, mara nyingi sana waliokuwa kwenye mahusiano wanakuwa na tabia zinazofanana , ndo zimewakutanisha na kuwaunganisha. Kama hamuendani kitabia basi uhusiano huo hautoboi mwaka.
 
Out zetu msiende sehemu za public ambazo kila mtu atakatisha hapo. Muwe mnaagiza hiyo lunch room. Au mnunulie miwani akuangalia umuone kama haangalii.
 
Ni sawa ila chunguza, mara nyingi sana waliokuwa kwenye mahusiano wanakuwa na tabia zinazofanana , ndo zimewakutanisha na kuwaunganisha. Kama hamuendani kitabia basi uhusiano huo hautoboi mwaka.
Sio wangu huyo ni mshkaji wangu tu mie sinaga shida mwaya aangalie amfuate , mie mapenzi na maokoto basi
 
SIpo single ila nipo yaani unakuwa hujielewi kama upo single au haupo.

Sasa ni hivi na mshikaji wangu. Sio mpenzi tunapendaga kwenda outings kula lunch nakunywa . Kazi zetu sio za kujipangiwa . Okay sasa huyo mwana, sio hanioni mie wakike nope kanichukulia mie mshikaji tu hajaweka akilini mapenzi.

Ila sio siri mie na mpenzi wake anatuboa akishaona wanawake wenye matako makubwa anaacha hata kula anawaangalia sasa ukute ana maziwa makubwa kama nicole wa huba anazima . Sana . Meaning anatoweka gafla . Pap mie kumzingatia kumbe mwana anaenda kumsoundisha anachukua namba . Halafu baada ya siku mbili anakusimulia . Nikauliza kwani wasio nalo shida nini maana hata wangu before ndio hiyo.

Anaacha kila kitu hadi wewe anamsalimia kapagawa kwani huwa shida nini unakuta mwana anaacha familia yake yotekwenye gari anapiga macho hadi gari inapata ajali.

Hebu mfunguke nyie wazee shida nini unamke fine but mnaang'aza mimacho hii nikero.
Wakikuwa wataacha, though remember girls are for loving
 
Back
Top Bottom