Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Wewe wako yuko fresh 😄?Sio wangu my dear ni rafiki ila inakera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wako yuko fresh 😄?Sio wangu my dear ni rafiki ila inakera
Nikamshauri nini??nenda kamshauri huyo rafiki yako
Sasa mie wangu simuwekagi akilini , yaani akiwaangalia na angalia wanaume waliomzidi yeye na pia nipo hapo kwa ajili ya mapenzi na matunzo basi.Wewe wako yuko fresh 😄?
aache hiyo tabia inayokukeraNikamshauri nini??
Good thinking, maana ataendelea kumkeranenda kamshauri huyo rafiki yako
Sawa ila hasikiiaache hiyo tabia inayokukera
Ok unaweza mpa ushauri kwa kumchunguza rafiki yako wa kike kwanza.Sio wangu huyo ni mshkaji wangu tu mie sinaga shida mwaya aangalie amfuate , mie mapenzi na maokoto basi
Dah hatarii tako tenaMwanamke MWENYE Tako kubwa anaridhisha hata kupelekewa moto mku-nduni
Daaah huku nilipo kuna barafu sio mchezoSio wangu my dear ni rafiki ila inakera
Mie sina tabia hizo ila i think huyo dada anazoOk unaweza mpa ushauri kwa kumchunguza rafiki yako wa kike kwanza.
Hili jambo limewatokea wengi sana ila baadaye wanakuja kugundua kumbe na wao wana tabia hizo.
Anahamasisha siyo kuridhishaMwanamke MWENYE Tako kubwa anaridhisha hata kupelekewa moto mku-nduni
Sasa tukuitishie demuDaaah huku nilipo kuna barafu sio mchezo
Unaishia kuangalia tu 😅 maana mwenzio hadi kuwapekenyua.Sasa mie wangu simuwekagi akilini , yaani akiwaangalia na angalia wanaume waliomzidi yeye na pia nipo hapo kwa ajili ya mapenzi na matunzo basi.
Km kuna uwezekano itishaSasa tukuitishie demu
mambo yetu wanaume tuachie wenyeweSIpo single ila nipo yaani unakuwa hujielewi kama upo single au haupo.
Sasa ni hivi na mshikaji wangu. Sio mpenzi tunapendaga kwenda outings kula lunch nakunywa . Kazi zetu sio za kujipangiwa . Okay sasa huyo mwana, sio hanioni mie wakike nope kanichukulia mie mshikaji tu hajaweka akilini mapenzi.
Ila sio siri mie na mpenzi wake anatuboa akishaona wanawake wenye matako makubwa anaacha hata kula anawaangalia sasa ukute ana maziwa makubwa kama nicole wa huba anazima . Sana . Meaning anatoweka gafla . Pap mie kumzingatia kumbe mwana anaenda kumsoundisha anachukua namba . Halafu baada ya siku mbili anakusimulia . Nikauliza kwani wasio nalo shida nini maana hata wangu before ndio hiyo.
Anaacha kila kitu hadi wewe anamsalimia kapagawa kwani huwa shida nini unakuta mwana anaacha familia yake yotekwenye gari anapiga macho hadi gari inapata ajali.
Hebu mfunguke nyie wazee shida nini unamke fine but mnaang'aza mimacho hii nikero.
Lipia tangazo lako.mie mapenzi na maokoto basi