Wanaume mnanini mnanikera sana

Wanaume mnanini mnanikera sana

Mie sina tabia hizo ila i think huyo dada anazo
Kama umeshaziona kuwa anazo, basi jibu unalo, wote ni samaki waliokutana.

Kama una tabia fulani, na unatarajia umpate mwanaume mwenye nidhamu, hiyo haiwezekani maana inapingana na asili. Na ikitokea, asili itawatenganisha. Hapo pia akirekebisha tabia yake vizuri na kuweza kumshauri mwanaume wake ajirekebishe, watatengeneza strong couple ya hatari. Mwanaume wake akikataa kwa matendo ujue haendani na tabia hiyo, so ni kumove on.
 
Kama umeshaziona kuwa anazo, basi jibu unalo, wote ni samaki waliokutana.

Kama una tabia fulani, na unatarajia umpate mwanaume mwenye nidhamu, hiyo haiwezekani maana inapingana na asili. Hapo pia akirekebisha tabia yake vizuri na kuweza kumshauri mwanaume wake ajirekebishe, watatengeneza strong couple ya hatari. Mwanaume wake akikataa kwa matendo ujue haendani na tabia hiyo, so ni kumove on.
SAwa na wewe tabia zako zinaendana na mkeo
 
SAwa na wewe tabia zako zinaendana na mkeo
Wadada wanaonifuata for the first time nilikuja kugundua wana tabia nisiyoipenda , kuja kuchunguza nikajikuta kumbe na mimi ninayo, kumbe ikawa kama sumaku kuwavuta, ikabidi nijirekebishe.

Kwa sasa sijaoa kabisa na sitarajii kuoa mapema sana mpaka kusudi langu litimie.
 
SIpo single ila nipo yaani unakuwa hujielewi kama upo single au haupo.

Sasa ni hivi na mshikaji wangu. Sio mpenzi tunapendaga kwenda outings kula lunch nakunywa . Kazi zetu sio za kujipangiwa . Okay sasa huyo mwana, sio hanioni mie wakike nope kanichukulia mie mshikaji tu hajaweka akilini mapenzi.

Ila sio siri mie na mpenzi wake anatuboa akishaona wanawake wenye matako makubwa anaacha hata kula anawaangalia sasa ukute ana maziwa makubwa kama nicole wa huba anazima . Sana . Meaning anatoweka gafla . Pap mie kumzingatia kumbe mwana anaenda kumsoundisha anachukua namba . Halafu baada ya siku mbili anakusimulia . Nikauliza kwani wasio nalo shida nini maana hata wangu before ndio hiyo.

Anaacha kila kitu hadi wewe anamsalimia kapagawa kwani huwa shida nini unakuta mwana anaacha familia yake yotekwenye gari anapiga macho hadi gari inapata ajali.

Hebu mfunguke nyie wazee shida nini unamke fine but mnaang'aza mimacho hii nikero.
Nyumba choo Hasa kikiwa cha nje
 
Wadada wanaonifuata for the first time nilikuja kugundua wana tabia nisiyoipenda , kuja kuchunguza nikajikuta kumbe na mimi ninayo, kumbe ikawa kama sumaku kuwavuta, ikabidi nijirekebishe.

Kwa sasa sijaoa kabisa na sitarajii kuoa mapema sana mpaka kusudi langu litimie.
Haya ikawe heri kwako utimize ndoto yako
 
Nimejitaidi sana nielewe ulichoandika niweze kuchangia lkn cjaelewa mada kbs ..
 
Fanya kama wale jamaa kule mjengoni tu. Pa paa paaa paaaa
 
Sasa kama si mpenz wako huo wivu unatoka wap?mi si nabii ila ww ni slim queen..ndo mnakuwaga na wivu kiasi kwamba hamtak hata sie tufurahie uumbaj
 
Afu umeandika kijanja sanaa...Yan bf wako ndo mwenye hyo tabia ila umeamua kumpachika mwngine ili kutupotezea maboya....
 
Back
Top Bottom