Wanaume mnanini mnanikera sana

Mie sina tabia hizo ila i think huyo dada anazo
Kama umeshaziona kuwa anazo, basi jibu unalo, wote ni samaki waliokutana.

Kama una tabia fulani, na unatarajia umpate mwanaume mwenye nidhamu, hiyo haiwezekani maana inapingana na asili. Na ikitokea, asili itawatenganisha. Hapo pia akirekebisha tabia yake vizuri na kuweza kumshauri mwanaume wake ajirekebishe, watatengeneza strong couple ya hatari. Mwanaume wake akikataa kwa matendo ujue haendani na tabia hiyo, so ni kumove on.
 
SAwa na wewe tabia zako zinaendana na mkeo
 
SAwa na wewe tabia zako zinaendana na mkeo
Wadada wanaonifuata for the first time nilikuja kugundua wana tabia nisiyoipenda , kuja kuchunguza nikajikuta kumbe na mimi ninayo, kumbe ikawa kama sumaku kuwavuta, ikabidi nijirekebishe.

Kwa sasa sijaoa kabisa na sitarajii kuoa mapema sana mpaka kusudi langu litimie.
 
Nyumba choo Hasa kikiwa cha nje
 
Haya ikawe heri kwako utimize ndoto yako
 
Nimejitaidi sana nielewe ulichoandika niweze kuchangia lkn cjaelewa mada kbs ..
 
Fanya kama wale jamaa kule mjengoni tu. Pa paa paaa paaaa
 
Sasa kama si mpenz wako huo wivu unatoka wap?mi si nabii ila ww ni slim queen..ndo mnakuwaga na wivu kiasi kwamba hamtak hata sie tufurahie uumbaj
 
Afu umeandika kijanja sanaa...Yan bf wako ndo mwenye hyo tabia ila umeamua kumpachika mwngine ili kutupotezea maboya....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…