Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwahi kutushindanisha vipi mteule wa jimbo alipatikana?[emoji3577]
Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.
Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa
Nilijua tu 😂Sio mtoto mimi
Unataka tuwakimbize kama kuku kama hutaki mtongozo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza tumechoka kutongozwa,Yaan hatutaki....imekaa kinafki kweli[emoji849]
🤣🤣🤣 Wakusikie😂😂😂 mimi nachukia mwanaume anaetongoza kila mwanamke
Chupa ya coxckaMuulize yy anamiliki nini?
Liwa mama liwa sanaaNdio anamiliki sasiv anakula chakura hapa
Thank u dear 😅Mnogage 😂😂😂
Hapana hapana...Kila mtu apambane na hali yakeUnataka tuwakimbize kama kuku kama hitaki mtongozo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si akiwa bebi wako utamnunulia boksa zawadi ya besdeiAkauze anunue boksa
Kumbe una wivu![emoji23][emoji23][emoji23] mimi nachukia mwanaume anaetongoza kila mwanamke