Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya ndio mambo sasa✌️
Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.
Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa
Fact,,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuweni makini hapa, kesho sikukuu. Huu ni mtego. Msije kusema sikuwaambia
Waswahili tumepata mteteziYamefanyeje
Wee sii umesema unapenda hela tuu sasa mtongozo wa nini tena.✌️
Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.
Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa
Utapokea zawadi ya maua kesho😂😂😂 endelea kujua
Kama ruba nimekamatiaMjishikilie sasa 😂
Mapenzi ya kweli😂😂😂 mimi wakat uho yeye kanipa nini?
Wenye pesa hatutongozi bwana wewe....tunakualika tuu sehemu utaenjoy mwenyewe utavua kyupiKwahiyo unapikuja kunitongoza na pesa zako zingatia na ili
Sijawahi kukuona mwanamke akikataa gari...infact huo ndio uchawi mkubwa unaofanya vishimo vyenu vikandamizwe
Yapo mengine special huwa anabebwa na wale team kataa ndoa ili wapige na kusepa.Maua nimepanda njee bwana