Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Haya nakaa kwa kutulia shemu ake 😀😀😀Shem tulia oh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya nakaa kwa kutulia shemu ake 😀😀😀Shem tulia oh
Eh saivi nikupambana ule , uvae , uishi Kwa Amani nauwe na mtu anayeelewa mahitaji Yako.It's enough...Yaan Imetosha kabisa
Kuna mmoja kaja na english oh nipo NMB makao makuu kama It ajamaliza nikamwambia nenda tena shulewaongo mbona wanajulikana tu hata wakiongea kiswahili, yani mtu akiwa ananitongoza kingereza kuna namna flani huwa najiskia😍🤗, ila ikiwa broken English namkataa kwakweli
Nyie ndo wale mnaandika huhu badala ya huu, mihe badala ya mie, huongo badala ya uongo --- Pasipo maneno machache ya Queen Malkia mtongozo haunogi.✌️
Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.
Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa
I have something to tell uKumbe
🤣🤣 ila broken inakera sana,Kuna mmoja kaja na english oh nipo NMB makao makuu kama It ajamaliza nikamwambia nenda tena shule
Hilo muhimu sitakuangusha shemuSawa shem leo tutaiba sawa
Come out 😁Niambie
You don't want a relationship with someone special to you?Sitaki
Tumechokaaa,nilikutana na huyo muhaya acha aanze kunambia alivyo ni engeneer,ana masters anapambana akapate phd,misafara ya raisi anakiwepoKwanza tumechoka kutongozwa,Yaan hatutaki....imekaa kinafki kweli[emoji849]
Hakuna tatizo, kama hupendi wewe wenzako watakubali....✌️
Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.
Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa