Wanaume mnao tumia english kutongoza

Uliwahi kutushindanisha vipi mteule wa jimbo alipatikana?
 
wengine ukiwaambia dada mambo mi ni yule kaka tulikutana pale station wanakuanzishia wenyewe utakuta ooh i am married ukiongea wewe tu wanataka uwatafsirie tena
 
Kwanza tumechoka kutongozwa,Yaan hatutaki....imekaa kinafki kweli[emoji849]
Unataka tuwakimbize kama kuku kama hutaki mtongozo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wengine ukiwaambia dada mambo mi ni yule kaka tulikutana pale station wanakuanzishia wenyewe utakuta ooh i am married ukiongea wewe tu wanataka uwatafsirie tena
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe jifanye ujui
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nachukia mwanaume anaetongoza kila mwanamke
Kumbe una wivu!
Aina yako unataka upigwe vocal wewe hata ukiwa unamkataa mtu.
Tatizo hapo attention inahamia kwa mwingine ndio sababu hupendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…