Wanaume mnao tumia english kutongoza

Wanaume mnao tumia english kutongoza

✌️

Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.

Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa
Hata JF walikwambia Enter username, then Enter password, then Login na haukupinga.
Halafu unakuja kutudanganya hapa.
 
ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa
FB_IMG_16761348738530942.jpg
 
Kama wee pisi kali na unajiamini weka picha yako kama To yeye hapa mana una rap rap sana kwa kufoka khaa 😁
 
[emoji3577]

Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.

Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa
Kisikuma na swaga za Maskai vip? au ndo ntakula tunda kimasihara?
 
[emoji3577]

Mwanaume unapomtongoza mwanamke usomi wako ujuaji wako weka pembeni.

Sio wanawake wote tunapenda izo mbwembwe binafsi ukinijia uku unaniongelea english jua umekataliwa kweupeeee na nina kublock ukija na mbwembwe zako za magari ndio kabisa nakukataa

Acha izo mrembo yani unafuatwa na subaru ndo sababu unaruka ruka wewe.....!!!! Apo kwenye kingereza ndo naweza kukuelewa......... ila sio kwenye gari wanawake na magari mazuri ni ndugu kabisa
 
Back
Top Bottom