Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Nawaza Hapa,

1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.

2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.

3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?

9b02f37215844a6898e856e68c430daa.jpg
 
Mimi wajomba zangu wanacheza sana vikoba na sasa kuna tabia mpya naziona kwao hasa umbea na kufuatilia mambo yasiyowahusu kabisa.

Eti mmoja aliniuliza mbona napenda kuvaa suruali nyeusi mara kwa mara? [emoji848]
Asijue mwenzake ninazo mbili tu nikibadili natinga nyingine maisha yanaenda.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Vicoba Kama vicoba ni vizuri Kwa wanaojitambua.

Ila Kibongobongo mwanaume kushiriki vicoba naona haijakaa poa, maana ukiachana na masuala ya akiba pia Kuna umbea Sana Kwa wahusika.

Kwaiyo sidhani Kama ni sahihi Kwa jinsia me.
 
Upatu ndio vikoba au ina tofauti mbona hamtueleweshi vizuri
Sisi tuko watu 10 na kila mmoja anatoa 6m kwa mwezii na baada ya miezi kumi kila mmoja anakuwa amechukua zake x 10
Sasa kama ni aibu basi na iwe tu 😄
Kama vikoba ina tofauti tuelimishane
 
Upatu ndio vikoba au ina tofauti mbona hamtueleweshi vizuri
Sisi tuko watu 10 na kila mmoja anatoa 6m kwa mwezii na baada ya miezi kumi kila mmoja anakuwa amechukua zake x 10
Sasa kama ni aibu basi na iwe tu 😄
Kama vikoba ina tofauti tuelimishane
Kuna mwamba kasema vicoba ni ka bank flan ivi.. Ila mi tangu nimezaliwa sijawahi kutunziwa hela na tangu nimejitambua sijawahi kumuamini mtu katika hili la kukusanyiana mkwanja. Ni bora nitupe kwingine
 
Nawaza Hapa,

1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.

2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.

3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195
Nafikiri shida ni hilo neno vicoba limekaa ki kike, but kitendo au concept haina shida.
 
Nawaza Hapa,

1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.

2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.

3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195
Sipati picha kijumbe wa kiume anakuwaje 😁😁
 
Kuna mwamba kasema vicoba ni ka bank flan ivi.. Ila mi tangu nimezaliwa sijawahi kutunziwa hela na tangu nimejitambua sijawahi kumuamini mtu katika hili la kukusanyiana mkwanja. Ni bora nitupe kwingine
Kama unahitaji hela ya kufanyia kitu haraka nafikiri hii ni njia salama kwa wasioamini Riba
Unachukua unafanyia wazo lako halafu unaendelea na mengine
Ila nasema tu kama una shida ya haraka ni salama zaidi haina riba
 
Nawaza Hapa,

1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.

2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.

3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195
Tatizo ni kwamba huyu Oscar Oscar Hana ujuzi wowote kuhusu uchumi na uwekezaji.
 
Back
Top Bottom