Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

MWANAUME HUPASWI KUTIZAMA MZUNGUKO WA PESA WA MWANAUME MWENZAKO WEWE FUATA MAISHA YAKO
Mwanaume hachezi Vicoba Mzee shtuka Ila basi mtu akizidiwa inabidi atumbukie huko Ila chimbuko la Vicoba ni wanawake na huo Mchezo una masharti magumu sana kuna kupigana faini Mara 2/3 ya kile ulitakiwa kupeleka km usipopeleka au ukichelewa kupeleka huo Mchezo umeua watu hadi sasa especially wanawake kuna Mama Mwaka Jana alijiua kisa rejesho la Vicoba
 
Sijawahi kufikiri kama ndugu Deep Pond nawe una fikra kama hizi. Village Community Bank (VICOBA) ina tatizo gani? Au ulimaanisha upatu? Vicoba viko karibu nchi zote za SADC & EAC na imeonyesha mafanikio makubwa. Tatizo kwa hapa nchini utakuta havijasajiliwa na havina utaratibu unaoeleweka. Arusha Club SACCOS ilianziaga chini sana kwa marafiki tu kuanzisha umoja wao ila kwa sasa ipo level nyingine ikijumuisha matajiri wengi wa Arusha. Bado serikali inatakiwa itoe elimu kuhusu mambo ya fedha kwa wananchi. Itawasaidia kina Oscar Oscar na Deep Pond kutambua kuwa VICOBA havina jinsia. Umaskini hautaisha au kupungua kwa fikra kama hizi za Oscar Oscar na Deep Pond.
Nahisi kalewa na senti
 
Hebu elezea vizur mkuu ni mnazikusanya halaf mnakopeshana? Maana ukisema mnakua mnachangiana ni mzunguko wa mwezi had mwezi sasa hela yakufanyia kitu haraka inakuaje hapo au mfano mpo sita na wewe ni wa sita si unasubiri hadi ufikiwe? sasa kusubiri ufikiwe si ungezitunza mwenyewe tu kwa nidham. Kuliko risk za huko maana wabongo tunajuana, Au mimi naelewaje?
Hilo ni fuko la Pesa ni Mchezo tu km Michezo ile ya zamani Ila wamemodify jina sasa hii imeenda mbali kuna vihela vya kujazia kikundi ndio hivyo unaweza ukakopa ukafanyia issues zako wanakuruhusu Ila utatakiwa kurudisha baada ya Mwezi kabla mtu hajapokea Pesa yake maana kunakua na rotation au utalipa kwa interval mpaka unaimaliza
 
Mwanaume hachezi Vicoba Mzee shtuka Ila basi mtu akizidiwa inabidi atumbukie huko Ila chimbuko la Vicoba ni wanawake na huo Mchezo una masharti magumu sana kuna kupigana faini Mara 2/3 ya kile ulitakiwa kupeleka km usipopeleka au ukichelewa kupeleka huo Mchezo umeua watu hadi sasa especially wanawake kuna Mama Mwaka Jana alijiua kisa rejesho la Vicoba
vikoba vilivyo sajiliwa au unazungumzia kitu gani....pia hilo la kujiua nafikiri ni tatizo binafsi,navyofahamu vikoba vina taratibu zake unazopaswa kuzisoma na kujiridhisha nazo

bado sina mlengo wa kusema vikoba ni kwa jinsia fulani kwani dhana ya vikoba si hiyo
 
Hilo ni fuko la Pesa ni Mchezo tu km Michezo ile ya zamani Ila wamemodify jina sasa hii imeenda mbali kuna vihela vya kujazia kikundi ndio hivyo unaweza ukakopa ukafanyia issues zako wanakuruhusu Ila utatakiwa kurudisha baada ya Mwezi kabla mtu hajapokea Pesa yake maana kunakua na rotation au utalipa kwa interval mpaka unaimaliza
Hivo vihela vya kujazia kikundi vinatoka sehemu gani mkuu
 
Back
Top Bottom