Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Nataka nijiunge, lengo kuu ni kuvizia mbususu.
Any recommendation vikoba vyenye totozi
Any recommendation vikoba vyenye totozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamua kutukana kabisaaIla wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Sasa mbususu mbona zimejaa kila sehemu?Nataka nijiunge, lengo kuu ni kuvizia mbususu
Hata kwenye vikoba zimejaaSasa mbususu mbona zimejaa kila sehemu?
Wapi tena?Umeamua kutukana kabisaa
Anafuata vicobaMwanaume anaenda kutafuta nini kwenye vikao vya wanawake ?
Ndiyo maana wengi akili zinadumaa.
Umefoka kwa herufi kubwaMWANAUME HUPASWI KUTIZAMA MZUNGUKO WA PESA WA MWANAUME MWENZAKO WEWE FUATA MAISHA YAKO
😂 uzee nilisahau kua nimebonyeza caps lock..vipi hali lakiniUmefoka kwa herufi kubwa
Imetoka na majina mengi sana mpaka kufika kwenye Vicoba Ila ni mchezo wa wanawake wale wanaotunzana mabeseni kwenye shughuli za uswazi wamemodify tuIla wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
unaishi eneo gani mkuu karibu tanga magengeni ni wanaume ndio wengi pia zanzibar na masoko mengine mijini mbona wanaume wapoKwa hapa bongo, tumezoea kuona wanawake ndiyo wanauza genge la mboga mboga
Mwanaume hachezi Vicoba Mzee shtuka Ila basi mtu akizidiwa inabidi atumbukie huko Ila chimbuko la Vicoba ni wanawake na huo Mchezo una masharti magumu sana kuna kupigana faini Mara 2/3 ya kile ulitakiwa kupeleka km usipopeleka au ukichelewa kupeleka huo Mchezo umeua watu hadi sasa especially wanawake kuna Mama Mwaka Jana alijiua kisa rejesho la VicobaMWANAUME HUPASWI KUTIZAMA MZUNGUKO WA PESA WA MWANAUME MWENZAKO WEWE FUATA MAISHA YAKO
Nahisi kalewa na sentiSijawahi kufikiri kama ndugu Deep Pond nawe una fikra kama hizi. Village Community Bank (VICOBA) ina tatizo gani? Au ulimaanisha upatu? Vicoba viko karibu nchi zote za SADC & EAC na imeonyesha mafanikio makubwa. Tatizo kwa hapa nchini utakuta havijasajiliwa na havina utaratibu unaoeleweka. Arusha Club SACCOS ilianziaga chini sana kwa marafiki tu kuanzisha umoja wao ila kwa sasa ipo level nyingine ikijumuisha matajiri wengi wa Arusha. Bado serikali inatakiwa itoe elimu kuhusu mambo ya fedha kwa wananchi. Itawasaidia kina Oscar Oscar na Deep Pond kutambua kuwa VICOBA havina jinsia. Umaskini hautaisha au kupungua kwa fikra kama hizi za Oscar Oscar na Deep Pond.
Hapana. Ni mtu anayewaza ngono muda mwingi...Nahisi kalewa na senti
Hilo ni fuko la Pesa ni Mchezo tu km Michezo ile ya zamani Ila wamemodify jina sasa hii imeenda mbali kuna vihela vya kujazia kikundi ndio hivyo unaweza ukakopa ukafanyia issues zako wanakuruhusu Ila utatakiwa kurudisha baada ya Mwezi kabla mtu hajapokea Pesa yake maana kunakua na rotation au utalipa kwa interval mpaka unaimalizaHebu elezea vizur mkuu ni mnazikusanya halaf mnakopeshana? Maana ukisema mnakua mnachangiana ni mzunguko wa mwezi had mwezi sasa hela yakufanyia kitu haraka inakuaje hapo au mfano mpo sita na wewe ni wa sita si unasubiri hadi ufikiwe? sasa kusubiri ufikiwe si ungezitunza mwenyewe tu kwa nidham. Kuliko risk za huko maana wabongo tunajuana, Au mimi naelewaje?
Wewe muda mwingi hua unawaza nini?Hapana. Ni mtu anayewaza ngono muda mwingi...
vikoba vilivyo sajiliwa au unazungumzia kitu gani....pia hilo la kujiua nafikiri ni tatizo binafsi,navyofahamu vikoba vina taratibu zake unazopaswa kuzisoma na kujiridhisha nazoMwanaume hachezi Vicoba Mzee shtuka Ila basi mtu akizidiwa inabidi atumbukie huko Ila chimbuko la Vicoba ni wanawake na huo Mchezo una masharti magumu sana kuna kupigana faini Mara 2/3 ya kile ulitakiwa kupeleka km usipopeleka au ukichelewa kupeleka huo Mchezo umeua watu hadi sasa especially wanawake kuna Mama Mwaka Jana alijiua kisa rejesho la Vicoba
Hivo vihela vya kujazia kikundi vinatoka sehemu gani mkuuHilo ni fuko la Pesa ni Mchezo tu km Michezo ile ya zamani Ila wamemodify jina sasa hii imeenda mbali kuna vihela vya kujazia kikundi ndio hivyo unaweza ukakopa ukafanyia issues zako wanakuruhusu Ila utatakiwa kurudisha baada ya Mwezi kabla mtu hajapokea Pesa yake maana kunakua na rotation au utalipa kwa interval mpaka unaimaliza
Nawaza agenda muhimu za kitaifa.Wewe muda mwingi hua unawaza nini?