Yah kabsa Anakujibu kw Facts had unakosa Upinzani wa kuendelea mwshoe unahamia kumbishia mwngneHuyu mzee wangu yupo vizuri mno ndiyo maana hata nikikutana naye kwenye majukwaa ya michezo naogopaga hata kujibizana naye kwa kejeli maana aliyekuzidi kakuzidi.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hata nyinyi bado mnafanya mambo kienyeji.Na ndio maana kwenye form ya kukopa kuna sehemu ya kuweka dhamana ya vitu vyako unaorodhesha vitu kutokana na thamani ya mkopo unaochukua
Mwisho wa siku haujaleta marejesho inachukuliwa akiba yako inalipa deni haitoshi wanachukua baadhi ya vitu vya dhamana vinauzwa hela inarudishwa naona utakuwa umeelewa mkuu
Una jambo Dr Matola, PhD holder. Utafika mbali mkuu[emoji1787][emoji1787]Hata nyinyi bado mnafanya mambo kienyeji.
Ukifuata vizuri system ya Vicoba dhamana ni akiba yako pamoja na wadhamini ndani ya kikundi kama ni Wawili its okey.
Vicoba hausiki na mambo ya kuchukuwa vitu vya mtu Nyumbani, mnachanganya haya mambo na kujitungia taratibu badala ya kufuata muongozo wa Vicoba.
Labda ili unielewe vizuri Mimi nikiwa na shida Nina watu wa aina mbili ambao wananiamini, wa kwanza atanikopesha kwa riba bila dhamana yoyote, na wa Pili ananikopesha cash bila riba wala dhamana yoyote, sasa jiulize upo kwenye Vicoba ukope kwa dhamana hiyo Vicoba ina faida gani au ya kazi gani?
Nilichokigunduwa Mimi kwenye Uzi huu inawezekana kabisa kinachoendelea mtaani kwa sehemu kubwa siyo Vicoba Bali ni remix ya upatu, kausha damu na Vicoba na hapo ndio kwenye confusion jamii kubwa haielewi kinachoendelea.
Mimi nikipata muda wa kujitolea bure kuwafundisha watu wa vikundi village community bank ni nini ni lazima wafike mbali na wote lazima wawe na bima za afya na kikundi lazima kiwe na asset za kuingiza faida na Kikoba huwa hakivunjwi kugawana pesa ila unaruhusiwa kujitowa na mchanganuo wa pesa utazopewa uko wazi kwa muongozo wa Vicoba.
Kwa kifupi nawashauri wenye Vicoba waviendeshe kwa mfumo wa Vicoba Endelevu, na kama kwa mwaka mgao wa pesa uwe wa hisa na uwekezaji.
Ni vema ukajibu vile mtoa mada kauliza swali ?Uwezo wako mdogo sana wa kufikiri hasa mkishapata hizo pesa za maagano
Hakuna mtu aliyeendelea kwa vikoba kwasababu 90% zile zinakuwa sio pesa za halali ni pesa za dhulma wengi wanapata katika njia isiyofaaVicoba Kama vicoba ni vizuri Kwa wanaojitambua.
Ila Kibongobongo mwanaume kushiriki vicoba naona haijakaa poa, maana ukiachana na masuala ya akiba pia Kuna umbea Sana Kwa wahusika.
Kwaiyo sidhani Kama ni sahihi Kwa jinsia me.
Hao traffic wanacheza upatu siyo Vicoba.Hawa matrafiki wa mjini wanacheza vikoba kwa week anapokea mtu million 3 hizo hela wanawakamua hawa boda boda na hizi gari za mjini
Mkuu Unaweza kupata muda ukaweka chapisho moja la ABC ya hivi vikoba .. ili itusaidie tujue wapi tushike halafu tukamua wenyewe, ikikupendeza wa kibali chako inawasiliishwaHao traffic wanacheza upatu siyo Vicoba.
Upatu unaweza kuendesha hata kwa group tu la WhatsApp, Vicoba ni physical activities.
Nikipata muda nitakutag, maana summary yake ndefu kidogo, halafu kuna modern mpya.Mkuu Unaweza kupata muda ukaweka chapisho moja la ABC ya hivi vikoba .. ili itusaidie tujue wapi tushike halafu tukamua wenyewe, ikikupendeza wa kibali chako inawasiliishwa
mawardat, mwanamke mwenyewe ndo wewe,kwamaana siyo kwa unyenyekevu huo...kupanga ni kuchagua,
Kuna mdada anacheza kikoba kwa niaba ya mumewe,mumewe ni afisa,,,,,,,aisee
One day yes[emoji1317]
Nini kinetokea??mawardat, mwanamke mwenyewe ndo wewe,kwamaana siyo kwa unyenyekevu huo...
Labda afahamu Nini maana ya vicobaNi vema ukajibu vile mtoa mada kauliza swali ?
nheee!! Unataka nikujuze kuhusu nafsi yako mwenyewe?!!! Ntaweza kweli...Nini kinetokea??
Inabidi uweze, haya nijuzenheee!! Unataka nikujuze kuhusu nafsi yako mwenyewe?!!! Ntaweza kweli...
sawa ngoja nijaribu...Inabidi uweze, haya nijuze