Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

A
Faida ya vicoba anaiona mtu asiyejua kuhifadhi / kuwa na matumizi ya hovyo ya fedha, tofauti na hapa hakuna faida.
 
Na kwenye kuvunja hapo wanaume ndio huwa wanachanganyikiwa na kuomba wake zao wawachezee
 
Safi sana mkuu, hii imekaa poa sana aisee.
 
12M X 5 years = 60 M

ila ni kweli 60M ni kuelekea 100M
Hongereni sana ila pitieni katiba yenu vyema ya Ushirika wenu maana kadri fedha zinavyoongezeka Shetani wa Tamaa na migogoro anaanza vikao kazi

njia pekee ya kumdhibiti ni kuimarisha STK ( 'Sheria, taratibu na kanuni) za umoja wenu
 
Kwamba unakua mwanaume afu unaogopa kujitunzia pesa mpk zikakae vikoba[emoji28]
Kwahiyo uko bank ela zako unazitunza wewe mwenyewe?..Labda kama ulitaka kuzungumzia Upatu,ila vicoba ni bank ya vikundi kwa level ya kijiji.Na ina taratibu zake zauendeshaji,wewe sema kibongo bongo hatuzingatii sana hizo taratibu ndo maana unaona ni kitu cha hadhi ya chini au cha wanawake.Tunaona ni mambo ya wanawake kwasababu wanawake ni rahis kusocialize kwenye mijumuiko kuliko wanaume,ila haina shida yoyote mwanaume kua uko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…