Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Ukisikia paaaah ,ujue imekukosa
Alolenga shabaha ndo alifanya makosa
 
Ukijua ID za wanaotoa hela unitag wakunyumba nikasalimie pm zao
Hahahahahaaa. Wewe huna akili kabisa. Kwahiyo beki hazikabi kabisa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Usijali wakunyumba si unajua tena kizuri kula na nduguyo
 
Slim usinifanyie hivyo niletee basi
Wee nambie nikaziache duka la Mangi ama la Mpemba, hata wa mt wa pili na kwako.... mi ntapeleka tu.... naumia mtima kuona mambo yanaenda hv!
 
Back
Top Bottom