Mwaka mzima? ??Honeymoon haijaisha ujue[emoji85]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka mzima? ??Honeymoon haijaisha ujue[emoji85]
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Mwaka mzima? ??
Fungua hiyo pm.[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Mwaka nao unasogea kasi kumbe oktoba leo.
Ngoja nifungue walau nipatepo kasalam kidogo[emoji23]
Fungua hiyo pm.
na wewe mkuu habar za chin ya kapeti zinadai umefungasha hasa japo humzid witnessHapo ndo na Mimi sijawahi elewa. Ngoja tusubiri muongozo kwa members wa siku nyingi.
ujaribu na kule not for everyoneKama sijakosea nahisi ni wewe, nahitaji kukuuliza kitu kuhusu Freelance. Kama hutojali nakuomba pm
Hahahahahaaa. Sijafungasha bwanana wewe mkuu habar za chin ya kapeti zinadai umefungasha hasa japo humzid witness
Aiseee. Na wewe unakujua jua kule eeeh?ujaribu na kule not for everyone
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama sijakosea nahisi ni wewe, nahitaji kukuuliza kitu kuhusu Freelance. Kama hutojali nakuomba pm
Hapo tunaita Both team to scoreUkute na wewe hujibu jumbe zao huko pm..
Tayari nimefungua mama wakati wako wakuja kuhakiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukifunguliwa twende wote kuhakiki
Tayari nimefungua njoo uhakikishe vizuriChambaaaaa Kama beberu DA Jane.
Sema nasikia kuna member wawili ni mahandsome (kutokana na comments za wadau) sasa usumbufu ukazidi kwa kutongozwa ikabidi wafunge pm (Mimi naomba wanifungulie nihakikishe).
Ngoja nijeTayari nimefungua mama wakati wako wakuja kuhakiki
Mleta uzi mmojawapo huyu apa aliefunga pm njoo umshuhulikieHahahaha
Hahahaha, una uhakika ?Mleta uzi mmojawapo huyu apa aliefunga pm njoo umshuhulikie
Hahahaha, una uhakika ?