Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Mi piemu za watu, hapana!Njo pm
Kwanza huko hata ukila za uso unatakiwa kuugumia ndani kwa ndani! Sithubutu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi piemu za watu, hapana!Njo pm
Piemu za watu, sithubutu!Ni kesho kweli ebu njo kwa waziri mkuu
Mi piemu za watu, hapana!
Kwanza huko hata ukila za uso unatakiwa kuugumia ndani kwa ndani! Sithubutu!
Piemu za watu, sithubutu!
Bora! lkn sio piemu!Mfyuuuuuuu
Sasa si unamkatalia tu na vioo unafunga jmnUnasumbuliwa, kwani hujasikia wale wadada wanaofosi ndoa kila lazima hili mimi ni mhanga
Sasa si unamkatalia tu na vioo unafunga jmn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hata nyinyi mkiamua mnawezaKibongo bongo sio rahisi, unajua nyie ndio mnawezaga
Fungua pm hutakutana tena na vitukoHumu kuna vituko sana
Hmmm! 😁😂 miaka 20 ijayo labda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hata nyinyi mkiamua mnaweza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hmmm! [emoji16][emoji23] miaka 20 ijayo labda
HahahaFungua pm hutakutana tena na vituko
Sijafikia level za kufunga PMFungua pm hutakutana tena na vituko
Hapo sawa. Nilidhani ni mlengwa wa kwenye uziSijafikia level za kufunga PM
Hapana MkuuHapo sawa. Nilidhani ni mlengwa wa kwenye uzi
Hio picha, ni wewe huyo!!???Eti utakuta mwanaume mzima, na akili zake timamu na kwa makusudi kabisa anafunga Pm yake.
Hivi naomba kuuliza, wewe mwanaume unafunga Pm ili iweje?
Unaogopa kutongozwa Pm au unaogopa kuombwa pesa huko Pm.
Hongera kwa wanaume woote wasiofunga Pm na Details zao.
Nyie mliobaki, huo ni Umama mnaoleta.
Yaani nikiona dume zima linafunga Pm huwa najiuliza mara mbilimbili, ni mzima kweli au kuna makucha anaficha!
Unaanzaje kufunga Pm na unamfungia nani hiyo Pm?
Pesa huna tuseme tutakuomba,
Sura huna,
Mvuto huna,
Pozi huna,
Kazi huna,
Maisha yako hayaeleweki....unafunga Pm ya nini?
Fungua upate madili.
Mtakosa vingi kwa umama wenu.
Pm acheni wafunge wadada, nyie wanaume ni kupambana hukohuko.
Wanaume woote mnaofunga Pm, mjue nimewadharau sana.
Na siwapendi hata.
Eti dume zima linaongelea kuhusu ignore list jukwaani.
Anaomba afundishwe jinsi ya kutumia kitufe cha ignore list....huoni aibu wewe!!! vingine jifunze mwenyewe ukiwa umejifunika na shuka kitandani.
Unataka kumuweka nani huko, au una account yako ya M-pesa huko ignoreni?
Mwanaume wa kweli hamuweki mtu Ignore list..bali anapambana nae hoja kwa hoja, jiwe kwa jiwe, chaka kwa chaka na pori kwa pori
Mwanaume wa kweli hafungi Pm hata kwa sekunde moja.
Ujumbe wangu ndo huo.
Povu lenu nipeni nikafulie mashuka nikiamka asubuhi.
View attachment 882875