Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Sasa hivyo vitu navipataje bila piemu una nn lakini
Mi piemu za watu, hapana!
Kwanza huko hata ukila za uso unatakiwa kuugumia ndani kwa ndani! Sithubutu!
 
Ngoja nifunge na yangu usigenitongoza bure mnk we utakuwa tongozatongoza
 
Hio picha, ni wewe huyo!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…