Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Hadi umeenda huko pm kwake na ukakuta ameifunga basi ujue kwamba wewe sio wa kwanza kwenda huko, inawezekana mpo wengi mnamsumbua alafu yy labda anamke wake hataki usumbufu.
 
Sasa wewe wenzio wanatafutwa kwenye pm zao wewe ndiyo unatafuta wanaume???

Kweli cha jiuza na kibaya chajitembeza aisei..!
 
ila wanaume wana moyo sana.. imagine mleta mada ni mkeo unaishi naye ndani yaani kufa na kuzikana,.. mapungufu yake yote na shida zake zote ni za kwake..

ukisikia mwanaume kaikimbia familia msimlaumu
Mkuu mbona umejitenga? Au wewe hauna moyo [emoji23][emoji23]
 
Makonda kaza kamba watanyooka tu, naona stress zimehamia huku.
 


MBONA KAMA UMEPANIK NA NAMBA ZA SIMU HATUTOI PIA
KASHTAKI POPOTE
 
We DaJane kweli una akili za nguruwe, halafu hivi umewaza nini kupost mashudu haya mbw* wewe
 
hahahha siku hizi nina utulivu ujue napatikan san huku nipo dada ufanye uje basi
Ni weweeeee. [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Mmekumiss huku ujue. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]

Nnavyojichetua kama sio yule aliyekuletea umbea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mtu mwenyewe namtafuta hivyoo simuoni ajabu usinione nipo huk saiz nakamilisa zoezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni weweeeee mdogo wangu. [emoji15]

Mmekumiss huku jf ujue. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]

Nnavyojichetua kama sio yule nliyekuletea umbea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…