Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Wanaume mnaojifanya watetezi wa Wanawake humu mnakera sana

Let's go back where we initially started this Convo, I needed a book you asked for my epistemology then I mentioned it, you needed a proof I made clear to how it can be a little bit complicated to put it in more understandable way and of course I find it is unnecessary energy consuming assignment, now I have been caught with false dichotomy??

Sawa nitumie email yako nikutumie maana sio kazi ya kuandika paragraphs mbili.
Yes, it is a false dichotomy, also a non sequitur.

Weka vitu hapa kwa faida ya wote.
 
Muanzisha uzi kama huwa anakereka kuwaona wale wanaume wanaokuwa katika harakati za kuwawezesha wanawake..ni kama hawapendi wale wanaume wanaokuwa kwenye majukwaa ya hedhi na wao ni wanaume...sipati picha anavyowachukulia wanaume watetezi wa haki za wanawake tena wakiwa mstari wambele na jezi na kofia zinazohamasisha 50 50..
Si kupenda kwao mkuu tumbo halina adabu unaweza mtetea mwanamke asifanyiwe ukatili still wewe mtetezi ukamtendea ukatili mwanamke huyo kwa kukulazimisha upike ufue kwa kigezo za usawa wa kijinsia
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Wapuuzi tu nyie wote mnaoponda wanawake humu kama hamna mama?!, hata baba yako ni mtetezi wa Mama yako..je nae ni simp?!

Kama unachukia wanawake then ni wewe...potea mbali huko...hujitwmbui na sio makosa yako, kosa la bichwa lako liko faulty! Hii ya kulazimisha wanaume wenzenu wachukie na kuponda wanawake inaonyesha jinsi mlivyo twisted akili zenu!..ni mjinga pekee anayetegemea wanaume wawe sawa, hivyo wa accept upuuzi anaoandika,

categorically tuko wanaume na wanawake humu ila kama bichwa lako liko daft ndio uta assume tuko sawa wanawake na wanaume wako sawa, .

Mtoa mada tukusaidie kuna INDIVIDUAL DIFFERENCES katika watu. Kila mtu ana Genetic makeup yake, ana PERSONALITY yake,ana UPBRINGING yake ana EXPERIENCES zake mwenyewe,zinazomshape CHOICES ama PREFERENCES zake, zinazoguide DECISIONS zake...na hivi vitu viko tofauti baina ya mwanaume na mwanaume na mwanamke na mwanamke..mtu na mtu....kuleta hapa msimamo wako na kulazimisha kila mtu wa jinsia yako waufate ndivyo unaonyesha jinsi ambavyo hauja grab this simple theory of individual differences...hata hapa ukileta leo topic kwa wanawake kutembea na mume wa mtu ni immoral wanawake wasifanye usitegemee kupata gen consensus wapo kutokana na walivyokuwa wired kisaikolojia ndivyo watqkavyotoa majibu tofauti....kwa mwanamkehuyu ni sawa na kwa mwanamkeyule sio sawa na wote wanajiona wana HAKI NA MAJIBU YAO .........mnawaita masimp wanaotetea wanawake na wenyewe wanawaona masimp kwa kutokua gentle na wanawake. Furthermore, wengi wenu wanaona mna deal na rejections/abandonment kutoka kwa mama zenu...wengine sijui mama zenu walikuwa busy na kazi au majukumu mengine ya kulea familia,basically wakawa ABSENT katika crucial moments za early years,mmeachiwa mikononi mwa House girl vifinyo makonzi yamewafanya mnachukia wanawake mpaka leo.....NYIE NDIO MASIMP WAKUBWA...AND YOU WILL KNOW NO PEACE WITH WOMEN AROUND YOU....SERIES OF BROKEN RELATIONSHIPS AND FRICTIONS WITH WOMEN WILL HAUNT YOU FOR THE REST OF YOUR LIFE...sad we can't help you,go to HELL!!!
 
Umeandika upuuzi mtupu bila kujua.

Huna uwezo WA kumdhibiti au kumcontrol mke wako leo hii kama akiamua kukengeuka, maana ana strong back up ambayo wewe huna.

Hebu nenda kasome kwanza kisa Cha Roberto Carlos kisha uje hapa uniambie ni kwanini analala nje ya nyumba zake na wakati ni nyumba aliiyozitafuta Kwa jasho lake mwenyewe
Narudia tena kwa herifu kubwa
KAMA HUWEZI KUM CONTROL MKE WAKO HUO NI UDHAIFU WAKO..... PERIOD

Kisa cha Robert sio tafsiri ya maisha ya watu wote

Watu tunaishi na wake zetu na tuna wapenda na tuna wa control vizuri sana vile tutakavyo bila kuwavunjia heshima na utu wao
 
Narudia tena kwa herifu kubwa
KAMA HUWEZI KUM CONTROL MKE WAKO HUO NI UDHAIFU WAKO..... PERIOD

Kisa cha Robert sio tafsiri ya maisha ya watu wote

Watu tunaishi na wake zetu na tuna wapenda na tuna wa control vizuri sana vile tutakavyo bila kuwavunjia heshima na utu wao
Akili zako bado ni ndogo sana na haujui how the whole atmosphere of intersexual dynamics ilivyokuwa gynocentrised, najua huelewi chochote kwenye hili bandiko langu, ila ipo siku utanielewa....!!
 
Akili zako bado ni ndogo sana na haujui how the whole atmosphere of intersexual dynamics ilivyokuwa gynocentrised, najua huelewi chochote kwenye hili bandiko langu, ila ipo siku utanielewa....!!
Mkuu jifunze kushambuali HOJA na sio kumshambulia mleta HOJA
Ukiona mtu anafanya personal attack badala ya hoja ujue uameishiwa HOJA

Joining date yangu tu inaweza kukupa mwanga mimi ni MUHENGA kiasi gani
So speaking of experience tambua kua unajadili na mtu mwenye uzoefu wa kutosha na ninachojadili

Natambua kwamba wapo binadamu wenye akili mbovu, na hii ni kwa wote.... wanaume na wanawake
So usichukue mifano miwili mitatu ya wanawake wenye akili mbovu ukafanya generation kwamba wanawake wote wa siku hizi HAWAFAI

Weww huna tofauti yoyote na wanawake wana dai kwamba wanaume wote wa siku hizi hawana nguvu za kiume, wanapenda kulelewa, wanakimbia majukumu na wanakua mashoga kwasababu ya kupenda mtelemko

Mkuu dunia ya sasa hivi DHAMANI yako na HESHIMA yako utaipata kikamilifu ukiwa na HELA
Kama huna hela hata vikao vya familia tu utaonekana unafanya fujo ukichangia

Hebu tafuta kwanza HELA ndio utajua kama wanawake ni wajeuri au la
 
Mkuu jifunze kushambuali HOJA na sio kumshambulia mleta HOJA
Ukiona mtu anafanya personal attack badala ya hoja ujue uameishiwa HOJA

Joining date yangu tu inaweza kukupa mwanga mimi ni MUHENGA kiasi gani
So speaking of experience tambua kua unajadili na mtu mwenye uzoefu wa kutosha na ninachojadili

Natambua kwamba wapo binadamu wenye akili mbovu, na hii ni kwa wote.... wanaume na wanawake
So usichukue mifano miwili mitatu ya wanawake wenye akili mbovu ukafanya generation kwamba wanawake wote wa siku hizi HAWAFAI

Weww huna tofauti yoyote na wanawake wana dai kwamba wanaume wote wa siku hizi hawana nguvu za kiume, wanapenda kulelewa, wanakimbia majukumu na wanakua mashoga kwasababu ya kupenda mtelemko

Mkuu dunia ya sasa hivi DHAMANI yako na HESHIMA yako utaipata kikamilifu ukiwa na HELA
Kama huna hela hata vikao vya familia tu utaonekana unafanya fujo ukichangia

Hebu tafuta kwanza HELA ndio utajua kama wanawake ni wajeuri au la
Haya nimekuelewa, samahani Kwa personal attack japo halikuwa kusudio langu..!!
 
Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.

Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.

Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?

Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.

Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?

Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?

Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.

Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.

Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?

%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.

Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?

Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?

Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.

Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.

Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
Mtoa mada nakupongeza sana. Unakula nao sahani moja. Toe to toe, unyo unyo.

Kupitia comment naendelea kuamini kwamba, wanaume wengi wamepumbazwa sana na mbususu na hakuna mtetezi wa mwanaume chini ya jua.

Mkuu mtoa mada umejibu comments nyingi sana nikuambie tu watakuchosha. Wakishafinyiwa kwa ndani wanakuja na nyuzi za kusifia. Wakipigwa matukio wanakuja na nyuzi za kuomba ushauri.

Kwa kiumbe KE kila mwanaume “mpumbavu” atanyooshwa kwa wakati wake.
 
  • Thanks
Reactions: ITR
Andioo zuri lakini hujaweka paragraphs linakuwa linapoteza ushawishi wa kulisoma. 😃😃😃

Kimsingi Wanawake ni tatizo sana na ukichunguza mambo mengi yenye Kuleta huzuni na simanzi huwa chanzo ni wao.
 
Mtoa mada nakupongeza sana. Unakula nao sahani moja. Toe to toe, unyo unyo.

Kupitia comment naendelea kuamini kwamba, wanaume wengi wamepumbazwa sana na mbususu na hakuna mtetezi wa mwanaume chini ya jua.

Mkuu mtoa mada umejibu comments nyingi sana nikuambie tu watakuchosha. Wakishafinyiwa kwa ndani wanakuja na nyuzi za kusifia. Wakipigwa matukio wanakuja na nyuzi za kuomba ushauri.

Kwa kiumbe KE kila mwanaume “mpumbavu” atanyooshwa kwa wakati wake.
 
Dogo hebu Punguza fujo basi, mbona unaleta utoto mwingi unakuwa una quote quote replies za watu bila kuandika chochote ndio nini sasa?

Jitahidi kuwa matured basi, watu humu tulijiunga tuna miaka 22 lakini ujinga unaoufanya wewe hatukuwahi kukufanya.

Kuna nyuzi nyingi sana za kusoma ili kuendelea kukuongezea maarifa lakini unakuwa nafanya ujinga tu kwa faida ya nani na kwa lengo lipi?

Jamiiforums ipo kwa ajili ya kupeana na kuhabarishana na vile vile kupeana mipango lakini matumizi yako ya huu mtandao yamekuwa ni Kinyume kabisa.

JamiiForums hebu muangalieni huyu Member anachokifanya kwenye nyuzi za watu.
 
Back
Top Bottom