Yes, it is a false dichotomy, also a non sequitur.Let's go back where we initially started this Convo, I needed a book you asked for my epistemology then I mentioned it, you needed a proof I made clear to how it can be a little bit complicated to put it in more understandable way and of course I find it is unnecessary energy consuming assignment, now I have been caught with false dichotomy??
Sawa nitumie email yako nikutumie maana sio kazi ya kuandika paragraphs mbili.
Narudia tena kwa herifu kubwaUmeandika upuuzi mtupu bila kujua.
Huna uwezo WA kumdhibiti au kumcontrol mke wako leo hii kama akiamua kukengeuka, maana ana strong back up ambayo wewe huna.
Hebu nenda kasome kwanza kisa Cha Roberto Carlos kisha uje hapa uniambie ni kwanini analala nje ya nyumba zake na wakati ni nyumba aliiyozitafuta Kwa jasho lake mwenyewe
Akili zako bado ni ndogo sana na haujui how the whole atmosphere of intersexual dynamics ilivyokuwa gynocentrised, najua huelewi chochote kwenye hili bandiko langu, ila ipo siku utanielewa....!!Narudia tena kwa herifu kubwa
KAMA HUWEZI KUM CONTROL MKE WAKO HUO NI UDHAIFU WAKO..... PERIOD
Kisa cha Robert sio tafsiri ya maisha ya watu wote
Watu tunaishi na wake zetu na tuna wapenda na tuna wa control vizuri sana vile tutakavyo bila kuwavunjia heshima na utu wao
Mkuu jifunze kushambuali HOJA na sio kumshambulia mleta HOJAAkili zako bado ni ndogo sana na haujui how the whole atmosphere of intersexual dynamics ilivyokuwa gynocentrised, najua huelewi chochote kwenye hili bandiko langu, ila ipo siku utanielewa....!!
Haya nimekuelewa, samahani Kwa personal attack japo halikuwa kusudio langu..!!Mkuu jifunze kushambuali HOJA na sio kumshambulia mleta HOJA
Ukiona mtu anafanya personal attack badala ya hoja ujue uameishiwa HOJA
Joining date yangu tu inaweza kukupa mwanga mimi ni MUHENGA kiasi gani
So speaking of experience tambua kua unajadili na mtu mwenye uzoefu wa kutosha na ninachojadili
Natambua kwamba wapo binadamu wenye akili mbovu, na hii ni kwa wote.... wanaume na wanawake
So usichukue mifano miwili mitatu ya wanawake wenye akili mbovu ukafanya generation kwamba wanawake wote wa siku hizi HAWAFAI
Weww huna tofauti yoyote na wanawake wana dai kwamba wanaume wote wa siku hizi hawana nguvu za kiume, wanapenda kulelewa, wanakimbia majukumu na wanakua mashoga kwasababu ya kupenda mtelemko
Mkuu dunia ya sasa hivi DHAMANI yako na HESHIMA yako utaipata kikamilifu ukiwa na HELA
Kama huna hela hata vikao vya familia tu utaonekana unafanya fujo ukichangia
Hebu tafuta kwanza HELA ndio utajua kama wanawake ni wajeuri au la
Mtoa mada nakupongeza sana. Unakula nao sahani moja. Toe to toe, unyo unyo.Kuna midume humu kazi yao ni kijipendeka kwa wanawake kwa kujifanya watetezi wa wanawake hasa kwenye mada zinazo ongea negative kuhusu wanawake, tena wengine wanafika hatua za kuanzisha mpaka thread za kuwatetea ,nataka niwaambie mnakera sana.
Mm nimeanza kuifuatilia JF mwaka 2017 na nikaja kufungua ID rasmi mwaka 2022 lakini sijawahi hata kwa bahati mbaya kuona comment au thread iliyo andikwa na mwanamke kwa ajili ya kuwatetea wanaume.
Hivi hapa duniani kuwa watu wanao pitia magumu zaidi ya wanaume ?
Mbona wanawake huwa hawajishughulishi na sisi ila sisi kutwa kukitia kiwatetea?
Unakuta lidume zima linaanzisha mada ,mara wanawake wasisemwe kwa sababu ni mama,dada,wake,shangazi zetu.
Aliye kwaambia mtu kuwa ndugu yako basi kunahalalisha kile anacho kifanya ni nani?
Hao wanawake wao hawana kaka,na baba zao mbona huwa hawajipendekezi na kujifanya watetezi wa wanaume?
Hata kwenye kampeni ya 50kwa50 ukiangalia ni midume ndo imeipa nguvu.
Mfano tuongelee kuhusu suala la single mother ,ikianzishwa mada yeyote itakayo ongelea hilo tatizo utashangaa midume inakuja mbio kutetea.
Ukimuuliza mbona una watetea atakwambia eti kwa sababu na mimi nina watoto wa kike,kwa hiyo kumbe tunatakiwa kuutetea hata ujambazi kwa sababu wenda watoto wetu siku moja wanaweza kujikuta wanakuwa majambazi sio?
%98 ya matatizo waliyo nayo wanawake hawa wa kisasa chanzo ni wao wenyewe hivyo ni lazima wasemwe maana wanafanya upumbavu mwingi alafu mizingo ambayo ni matokea ya upumba wao wanaenda kuwabebesha mizigo wazazi wao na ndugu zao.
Tena huo usingle mother mabinti baada ya kubarehe huwa wanautafuta kwa nguvu kweli kweli,nitakuja kuanzisha mada nyingine juu ya hili.
Wengine huwa wanafika mbali na kuuliza kuwa eti kwani mimba huwa wanajipa wenyewe?
Hivi mfano leo hii Makonda akija akakuta umekaa sehemu akaanza kukuchokoza ,kati ya ww na Makonda ni nani anatakiwa kumuepuka mwenzie ili msifikie hatua ya kupigana?
Jibu ni ww ndo unatakiwa kumuepuka maana ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya ugomvi huo maana ukimpiga utaozea jera hali yakuwa yeye hata akikupiga hatofanywa chochote.
Mtu mwenye akili siku zote kabla ya kufanya kitu fulani huwa anapima ni gharama gani atalipa juu ya hicho anacho taka kutenda na sio kumtegemea huyo unaye fanya naye afikiri kwa ajili yake.
Binti kabla ya kumvulia chupi mwanaume tambua kuwa ww ndo utalipa gharama kubwa juu ya hicho unacho taka kukifanya,hivyo ni jukumu lako kufikiria iwapo utakuwa na uwezo wa kuzilipa hizo gharama na sio kumtegea mwanaume afikiri kwa
Andioo zuri lakini hujaweka paragraphs linakuwa linapoteza ushawishi wa kulisoma. 😃😃😃
Kimsingi Wanawake ni tatizo sana na ukichunguza mambo mengi yenye Kuleta huzuni na simanzi huwa chanzo ni wao.
Mtoa mada kwahiyo unatuonea wivu? 🤣
Mtoa mada nakupongeza sana. Unakula nao sahani moja. Toe to toe, unyo unyo.
Kupitia comment naendelea kuamini kwamba, wanaume wengi wamepumbazwa sana na mbususu na hakuna mtetezi wa mwanaume chini ya jua.
Mkuu mtoa mada umejibu comments nyingi sana nikuambie tu watakuchosha. Wakishafinyiwa kwa ndani wanakuja na nyuzi za kusifia. Wakipigwa matukio wanakuja na nyuzi za kuomba ushauri.
Kwa kiumbe KE kila mwanaume “mpumbavu” atanyooshwa kwa wakati wake.