Wanaume mnaojitafuta anzisheni familia mkishajipata, mnaharibu maisha ya watu na kutengeneza single mothers wengi

Wewe niambie ni kosa gani mwanamke huwa anakili kwamba ni lake?

Kiasili mwanamke huwa anakwepa makosa yake, hata hili la singo Maza ni la mwanamke asilimia mia. Ila sema wao kila kosa lazima walikwepe na kutoa sababu za kijinga.
 
Umeona hiyo sehem uliyosema kuhusu NGONO na ndoa. Sasa hapo ndio uzi huongelea.

Kama unaona muda wa kuoa haujafika na hutarajii kwanini basi kutafuta mtu (wa ngono tuu) ambae unajua fika ikitokea mimba utakua umemuaribia maisha yake? Maana ni dhahiri fika hautamuoa.

Kwanini basi usisubiri au mtafute yule ambae unajua kabisa huyu hata nikimpa mtoto lazima ni muoe ndio umalizie shida zako hapo? Kuliko kwenda kumalizia shida kwa kila mtu. Mbaya zaidi na hamu hizo huwa haziishi
 
Hapa naona tatizo lipo kwenye CONTENT na CONTEXT, ngoja nikuweke sawa mimi nina assist kuondoa tatizo kwa kumpa elimu mwanamke mf dadayangu kabla ya tatizo you catch, ikitokea akapata mimba hilo si tatizo langu nitafanya nini na mimba kashapata na kuolewa ajaolewa WHAT CAN I DO nikamlazimishe mwanaume amuse au.....Tatizo ni lake ni yeye ndio sasa wakupambana na status yake ya single mother kupata mume wa kumuoa si mimi siwezi kusema dada nikupe elimu ABC.

So nikisema si tatizo langu simaanishi eti mtoto akiumwa nisimsaidie pesa ya hospital, si tatizo langu kwenye ANGLE YA MAHUSIANO ndicho tunazungumzia hapa.


Nikuulize swali, Dadayako akishakuwa Single Mother utafanya nini wewe ??
Labda nikuulize kaka . Kama dada ndo kapata huyo mtoto na yuko nyumbani huez kumsaidia kwa mawzo, mali na hata kwa kulea, au hautajihusisha kwa chochote kwa sababu alishakosea maelekezo yako? After all we all make mistakes why condemn mtu mwingine.
Dadayangu namsadia kihali na kimali kabla ya kupata huyo mtoto, since anazaliwa mimi namsaidia mpaka anakufa au nife mimi....Hii haindoi ukweli kuwa akiwa single mother zigo ni Lake yeye sio mimi, mimi ninaoa zangu bila tatizo na ninaweza kuoa hata nikiwa na watoto, naweza kuoa hata wake wanne kwenye soko la mahusino bado nabaki kuwa bidhaa bora ila yeye kwa status ya single mother kupata wa kumuoa ngumu angalia hiko kitu kama zigo kwake siwezi kumuondolea status ya kuwa single mother mimi angesikiliza miongozo yangu asingekuwa na hilo zigo.....nikisema zigo simaanishi roba la cement.
Fourth ningependa tushauriane kama vijana sio kuambiana FEMININE haijakaa poa kaka.

ASANTE.

Bootomline: tunapokosana sisi mimi nipo kwenye kutengeneza suala before mambo yaja haribika wewe maono yako yamebase ambapo tatizo sasa linatokea na Lisnaskea tena kwa kuwanyooshea violence wengine.
 
Wewe niambie ni kosa gani mwanamke huwa anakili kwamba ni lake?

Kiasili mwanamke huwa anakwepa makosa yake, hata hili la singo Maza ni la mwanamke asilimia mia. Ila sema wao kila kosa lazima walikwepe na kutoa sababu za kijinga.
Ofcoz kuna makosa nao wanafanya sio kwamba ni malaika.

Ila ukiangalia kwa upande mwingine na sisi wanaume pia tuna makosa yetu tena mengi tuu.

Tuanzie mahusiano ya kawaida, katika case nilizonazo mara nyingi
1. mwanaume akiona mimba yeye ndiye mkimbiaji,
2. mwanaume ndiye mara nyingi hutongoza (japo kuna mabinti siku hizi wanaotongoza).
3. Linapokuja swala ngono zembe ni mwanaume mara nyingi ndiye anatakiwa ajiandae na maswala ya kondom na mamb mengine. (Japo inatokea mwanamke kuhusika)
4. Mwanaume ndiye muomba show mkubwa katika mahusiano ( japo inatokea na mwanamke kuomba show muda fulani), hivyo muambaji show anatakiwa ajiandae na maswala mengine kama kondom n.k Mim binafsi hua najiwekea sipigi show bila condom hata niwe wapi.
5. Mwanamke nae anabidi awe makini kwenye kuhesabu kalenda (japo sio garantee) na vingine, ila akikutana na ving'ang'aniz wote humu ni watu wazima tunajua.
6. Vipi kwenye swala la kumwaga mim sote tunajua mwanaume ndie mwenye control hapo anajua ni muda gani na anamwagia wapi. Sasa utasemaje mwanamke anamakosa na sisi ndio wamwagia ndani?
 
Hapo ndo unapozingua, anayetafutwa ni mnyama au ni toy? Inaelekea hicho kiumbe hakina fahamu hata kidogo.
Acha kutetea ujinga.
 
Sijui kwanini nina majibu mengi sana.

1)Soma vizuri pale juu, nimesema mwanamke haijarishi nimemtongozaje na hata nikimzalisha watoto nane (8) huyu mwanamke akinionesha uwanamke tu akawa Submisaive kwangu na kuwa na utu kwangu na heshima......Mimi naoa haraka, namaanisha mwamke nimtongoze leo hii kwa ngono amanita utu na heshima mimi naoa bila kufiri mara mbili.

Tunarudi palepale huyo mwanmke anafaa kwa ngono ila sio ndoa hapa tatizo lipo kwake si kwa mwanaume, sasa mwanaume ageuke maraika na kumuingia huyo mwanmke na kufanya awe na sifa za kuolewa IMPOSSIBLE.....Huyu maanayake hata niwe nishajipata na kuwa Millionaire na kumtongoza nimuoe bado nitaishia kufanya nae ngono tu haijarishi umemtongoza kwanini, ukiwa na hali gani bado yeye ni garasa....MWANAUME HUA TIMAMU KWENYE NDOA.


2)MWANAUME, muda wote biologic process zinafanya kazi kwenye mwili wake, Nyeg** mida yote unakuwa nazo, nyeg** haziwezi subiri eti mpaka ujipate kiuchumi miaka 10 mbele na pia uhakika wa kujipata hauko sure, kivyovyote mwanaume lazima ufanye tendo anayepaswa KUWA MAKINI kuwa hili tendo linazalisha mtoto ni mwanamke si mwanaume, mimba habebi mwanaume.
 
Kaka nimekusoma sana hapo ni point sasa Umeona hiyo sehem umeandika Elimu. Kwanini tusifocus na hiyo for starter.

Kama ulivompa elim sister mwanzo kuhusu mahusiano na ngono labda, kwanini elim inayofata isiwe namna gani atatakiwa aishi ili kupata nafasi ya kuolewa, after all huko ndio sehem kuu ambayo kila mtu anategemea awepo (ndoa) kumbuka wewe ni mwanaume na una upeo mpana zaidi wa kumjua mwanaume/wanaume wenzako huko nje wanapendelea nini kama wakiwa kwenye ndoa au mahusiano na single mother, na maana elimu haina mwisho.

Halafu tukimaliza hapo turudi kwa huyo mtu aliempa huyo mtoto ukikutana nae, nae utampa elimu ipi labda? Mimi ndio nimeiona nisema asubiri mpaka akijipata atafute mtoto na atakaempata ili atengeneze familia nae. Sio kuzalisha wadada wengine ambao anajua hawez kuwaoa. (Mimi ndio elim yangu hiyo)

Dada yangu akiwa single mother kikbwa ambacho nitampa ni ushauri mzuri wa namna gani ya kuendelea na maisha baada ya pale ni namna gani aishi ili aweze kupata mume na namna gani ya kuhandle baba mtoto atakapo anza kuleta drama hapo uzi hauongelei hicho.

Uzi unaongelea kabla mambo hayajatokea pia. Ni ushauri kwa wanaume kuwa tupojitafuta tusiwe tunawaalibia maisha watu wengine.
 
Samahani muanzisha mada, unaongea haya kwa dhati au kuna jambo linakusukuma kuwa hivyo?

Suala la Single mothers ni jambo pana sana.
Bila kuumiza kichwa mtazalisha single mothers wengi zaidi kwa kudhani mnawasaidia.
 
Sasa unaposema kuwa mwanamke anafaa kwa ngono na sio ndoa kumbuka hapo tunaongelea mtizamo na kiwango cha uvumilivu

Kuna watu wanauwezo wa kuvumilia kuliko wengine,

Hivyo toka mwanzo ukiona huyu mwanamke ni wa ngono sio wa kuoa kwa sabab labda ni jeuri, hana sifa za mke n.k ungemuacha basi ili nae akatafute mtu ambae atamuona anafaa kuwa mke wake.

Na kama unaona ni mwanamke wa ngono kwanin basi kumzalisha? (Kuanzisha nae familia) ungetumia njia za kuzuia mimba ili umtumie kwa ngono tuu. (Kama unavosema ni mwanamke wa ngono)
 
Basi kama unasumbuliwa sana na ny*g* basi ungejituliza utafute binti wa uhakika kabisa ili umalize hizo nyg na chochote kikitokea si unakua umempata alie qualify basi hawez kuwa single mother maan definately utamuoa maana anavigezo vyote.
 
Mwanamke akishakuwa single mother mbali na kupunguza mazoea na baba mtoto njia kubwa ya yeye kuwa na thamani ni kuwa na UTU NA UTULIVU TU kwa mwanaume atayempata ndani ya utu na utulivu kuna HESHIMA NA KUJARI, hakuna mwanaume mgumu wala mbabe kwenye hio package ya utu, utulivu, heshima na kujari hata huyo mtu awe mwenyekiti wa chama ch kataa single mother na a naongea kuponda single mother JF, Being Women ni rahisi sana basi tu.

Mimi sipo against Single mother maranyingi nipo against Mwanamke asiye na uwanamke ndani yake, Single mother nikiwanae hata leo akawa Submissive kwangu Ana utu, heshima, utulivu na kujari nitamchagua yeye over mwanamke ambae hana mtoto then masuala ya baba mtoto tutaona yanakiwaje.

1)ajipe thamani, mwanamke kujipa thamani rahisi mf akawa anajihusisha kushona sehemu tu just "ni fundi cherehani" thamani

2)Awe mbali na baba mtoto akipata mahusiano

3)Awe na Utu na Utulivu kwa mwanaume
Uzi unaongelea kabla mambo hayajatokea pia. Ni ushauri kwa wanaume kuwa tupojitafuta tusiwe tunawaalibia maisha watu wengine.
 
Basi kama unasumbuliwa sana na ny*g* basi ungejituliza utafute binti wa uhakika kabisa ili umalize hizo nyg na chochote kikitokea si unakua umempata alie qualify basi hawez kuwa single mother maan definately utamuoa maana anavigezo vyote.
Kama mwanamke Ana vigezo vyote then unampa mimba unakimbia, hapa nitasimama upande wa mwanamke huyu mwanaume ni Ana matatizo.

Njia nzuri kama hii uliyosema kukaa na kutulia na mmoja na uhakikishe akipata miamba unaoa.
 
WELL SAID BRO HAPO IMEELEWEKA KABISA.
 
Yes, naungana na wewe kwa mwanaume hivyo muache kama unataka kuendeleanae bora kujikinga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…