Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Sasa tatizo matoto ya masingle mother ndio yanaendeleza utamaduni unakuta likifika miaka 16 tu linakataa shule, linakwenda kutangatanga huko mikoani linatia mimba binti wa mtu linapita hivi.
Hapo litakwenda kuharibu mabinti kadhaa. The cycle continues.
Hapo litakwenda kuharibu mabinti kadhaa. The cycle continues.