WANAUME MNAOPELEKA SHULE WATOTO WENU: Njooni hapa, DNA muhimu.

WANAUME MNAOPELEKA SHULE WATOTO WENU: Njooni hapa, DNA muhimu.

mr Dude

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
283
Reaction score
349
DNA muhimu Vijana.
Kama mwanaume unaanzaje kumuamini KE uliyekutananae ukubwani, Yani anakuambia mtoto ni wako na wewe ME unaamini, Ni mistake kubwa sana ME sisi tunafanya, Hutakiwi kumuamini mtu uliyekutanane ukubwani

Hata akiwa mkeo
Ni makosa makubwa ME tunafanya
IMG-20240106-WA0038.jpg
 
Asilimia kubwa wanalea watoto sio wao

Sema utafanyaje sasa nako ni kiumbe cha Mungu pia
Hata Majambazi, wabakaji, wachawi, wauaji, mashoga na wanasiasa wote ni viumbe wa Mungu.
Point yako hapa sijaelewa ni ipi?
 
Dah Bora toto langu limechukua mpka vidole vyangu, Yani ukiliona huulizi toto la nani
 
Wanaume tuzingatie kupima DNA, Kupima siyo ghali ukiwa na milioni moja unapima tuu fresh.. kwenye controal namba unalipa wewe na mtoto 200k , nyingine una mpa mwanasheria na nyingine inabaki hela ya nauli pamoja naya kununulia panga jipya
 
Diamond alipelekwa mpaka mahakamani kudaiwa child support kumbe mtoto sio wake
 
Back
Top Bottom