Wanaume mnaopenda Mpira

Wakati wewe umemuacha mkeo na kwenda kuangalia mpira kuna watu nao wapo na mkeo wanacheza nae mpira.......
 
Nimeupenda mchexo wa soka ( football) Kabla sijabalehe. Football is my Love.
 
Hv akikwambia chagua moja umuache yaani umpe talaka yake
Au uwe naye lakini uache kwenda mpirani, utachagua lipi?!
Aondoke tu nitamsaidia hata kukusanya visepe vyake.

I love football, general banter, ukimind nipige
 
Nzuri zaidi ni pale inapokuwa, Nyumbani umeweka King'amuzi cha CCM (Startimes) na Nyumba ndogo umemfugia Dstv....

Utakuwa unatazama mpira ukiwa na Shabiki wako wa kweli pembeni...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora hivyo but kuna wengine wanadai eti Moira wa kuangalia home haunogi eti kwa vile unakuwa peke yako kwahiyo unakuta mtu anaacha TV kwake anaenda huko video show au baa eti anafata mashabiki wenzie


Wanaume jamani..!!
 
Mpira una utamu wake aisee...hasa uangalie live na sio marudio....mwenyew nilishawapak weng sababu ya mpira....wakat wa mpira sitaki husumbufu nazima na simu kbs.. Naweza hata nisile km timua angu ikifungwa....lkn kukosana na mke nakula kawaida tu[emoji13][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utamu nini, kwani unadhani huo utamu wa ndoa kaanza kuuona juzi baada ya ndoa kufungwa msikitini/kanisani? Alishaupata sana tu na ndoa haijaongeza lolote ni hatua tu ya kiroho. Ila kila mechi ya soka ina utamu wake aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…