Wanaume mnaopenda Mpira

Dada unajua utamu wa kushabikia Arsenal wewe, yaani hata ifungwe unaipenda tu
Halafu gemu ikipangwa saa 3 inafanyika saa 3 na huakika wa mabao upo, ila hapo kitandani ukinuna hamna gemu ni mzungu wa nne
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji4] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mpira ni raha. Nimecheza, nimeangalia mpaka wkati naoa pia alkuwa anajua napenda mpira. raha ya mpira uangalie kwenye kelele.
Mmh!!humo kwenye kelele kuna wengine wanabishanaga mpaka wanataka kutiana mkononi

Aisee...!!!! Mara paaaaaaaapu duniani hakuna mchezo wa soccer HV mthamia mars au Pluto?!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Katika vitu ambavyo wanaume tunafanya na hatupati dhambi ni pamoja na kuangalia mpira

Utakataza vyote lakini sio mpira.
Bora hata pombe tunaweza kuacha lakini sio mpira, unatwanga upepo kwy kinu.
 
Kwahiyo ukifungwa unaliaga?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…