Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
- Thread starter
- #281
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Duuu[emoji134]kiukweli huwez kunizuia kuangalia liverpool yangu eti kisa nikae na wewe,,kama huwez kuvumilia dakika zangu 90 za kuangalia mpira basi wewe huwez kuvumilia nikiumwa au nikisafiri mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] amekukuna etiYaani mm ndio maana nakuelewa sana.unaakili sana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] muwe mnaenda ote huko mipirani kina Queen wasikuibie bureNi kweli jaman tena og kabisa nimejionea [emoji1][emoji1]
Group gn?!
Haya wee[emoji4]Ndoa ipo tu mpira ni dk 90 tu
Duuu[emoji1] [emoji1]
Sema kweliWee ongea kitu kingine Ila sio mpira, mpira ni mtamu zaidi ya papuchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ban ya nini tena mpenzi?Mke anaweza kusubiri
Mpira unakuwaga live ule
Kiasi fulani hawako katika makosa so long as hawafanyi kinyume na makubaliano ya ndoa yao
Basi twende wote hata baada ya ndoaWakati wa uchumba mnatusindikiza hadi vibanda umiza, tumeoana eti unashangaa vile napenda mpira!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Tako lina vipele hutaka kutumia family wa detto kwanini nisiende kumuangalia lukaku full hd kuliko tako lenye Mchele mchele
Muongo huyuuu [emoji1]
Kila kitu na mda wake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukiambiwa uchague moja kati ya mpira na mama d wako
Utachagua nn?!
Nashangaa yaan wao wanadhan kugandana ndani kama siafu ndio mapenz wakat mimi akili yangu haiko hapo...hata anishike vipi dushe haliamki maana nawaza mpira..Ila nirudi saasa na tuwe tumeshida atafurahi.Nalala kidumu chote kiko tupukiukweli huwez kunizuia kuangalia liverpool yangu eti kisa nikae na wewe,,kama huwez kuvumilia dakika zangu 90 za kuangalia mpira basi wewe huwez kuvumilia nikiumwa au nikisafiri mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
True mkuuSio Ngumu haiwezekani
Football is life it self
CantstopwontStop