cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nita kutag hata ucjar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unitag akimtaja[emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nita kutag hata ucjar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unitag akimtaja[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nna babaa tamuu wangu humuu, hizi sifa nazopewa yeye hataki kusikia anahisi namcheat. WoiiiiiihHatimaye cocs kafikiwa fanya ukuje uchukue sifa zako tena itakuwa fanta passion cocastic [emoji1787]
Sasa kwani uongo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca nitake radhi bby[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
,😂😂😂Wakuu za sahizi, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo hapa nacheka kaa fala kwa kweli. Hii ni baada ya kuona baadhi ya wanaume wanadatishwa kwa avatar za wanawake humu ndani bila kuangalia uhalisia. Asee nyie watu mnaenda kupigwa huko na vitu vizito watu mpaka mnaotana aseee 😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwezi kuwa serious, kabisa, Mngeona hizo sura alafu useme urudi kwenye avatar mngekimbiana humu Personally Nimestaafu na ku abolish rasmi kuzama zama pm hovyo Sa hivi sizami, tena Ukitaka kuwa na dem humu ni bora uangalie personality na sio avatar, Narudi tena MTAENDA KUPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI Hizi avatar humu 1% or less ndo zenye uhalisia other than that hamna kazi
Mkuuu Maxence Melo nashukuru sana kwa kufanya huu mtandao kuwa huru, umenifungua macho yangu kwenye mengi sana
Till next time 😎😎😎😎😎
KAA CHONJO
Nimekaa 👉👉👉👉 na wanangu sana
View attachment 2631699
😀😀 Haiwezekani, hata mwandiko tu unaonesha wewe ni pisi afu unajaribu kutulisha matango pori[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii hapa JF nzima mie ndo mbaya na mbovu tena kwa wotee, yaan kwa wanaume na wanawake.
Check out your pmWahi haraka sasa kablaa hujapitwaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyoo hutakiii wee?? Amini kwambaaaa, uwiiiiih[emoji3][emoji3] Haiwezekani, hata mwandiko tu unaonesha wewe ni pisi afu unajaribu kutulisha matango pori
SawaaahCheck out your pm
[emoji23][emoji23][emoji23] Ujue umenifananisha sijui na nani tena yaani watu watakuwa wanacheka kimoyo moyo shunie huyuhuyu wa kuwa na bmwWacha tuiache hivyo hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hizo sifa tu we zipokee tu baba tamuu avumilie tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear nna babaa tamuu wangu humuu, hizi sifa nazopewa yeye hataki kusikia anahisi namcheat. Woiiiiiih
Ndio ndio shemeji [emoji23]Tena ya baridi[emoji39][emoji39]
Nilisahau password yani hilo tu, dadeki nikasema hapana sitafungua fekero jingine mpaka nitakapo ikumbuka hahaOngea taratibu watakucheka wenzio [emoji1787] halafu ulipotelea wapi we mtu mda sana sijakuona
Hahahaa kweli kabisa mkuu,nilichatt na dume moja linajiita huduma za kinini sijui..lilivyoona nalibana maswali magumu magumu ya kulilainisha likakimbia😀😀😀Wakuu za sahizi, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo hapa nacheka kaa fala kwa kweli. Hii ni baada ya kuona baadhi ya wanaume wanadatishwa kwa avatar za wanawake humu ndani bila kuangalia uhalisia. Asee nyie watu mnaenda kupigwa huko na vitu vizito watu mpaka mnaotana aseee 😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huwezi kuwa serious, kabisa, Mngeona hizo sura alafu useme urudi kwenye avatar mngekimbiana humu Personally Nimestaafu na ku abolish rasmi kuzama zama pm hovyo Sa hivi sizami, tena Ukitaka kuwa na dem humu ni bora uangalie personality na sio avatar, Narudi tena MTAENDA KUPIGWA NA KITU KIZITO KICHWANI Hizi avatar humu 1% or less ndo zenye uhalisia other than that hamna kazi
Mkuuu Maxence Melo nashukuru sana kwa kufanya huu mtandao kuwa huru, umenifungua macho yangu kwenye mengi sana
Till next time 😎😎😎😎😎
KAA CHONJO
Nimekaa 👉👉👉👉 na wanangu sana
View attachment 2631699