Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Nikiona kijana kavaa bukta jezi ya team, anani turn on mnooo.
Namuonaa kijana lijari, tena wa kienyejiii, nikiwa nae naona niko na Dume haswaaa.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Nikiona kijana kavaa bukta jezi ya team, anani turn on mnooo.
Namuonaa kijana lijari, tena wa kienyejiii, nikiwa nae naona niko na Dume haswaaa.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Bakishishi 😅😅😅
 
Hii issue ni mazoea kati ya mtu na mtu
Pia kuna wengine huvaa nguo mbili tu Shati na Suruali, imeisha
 
Kumbe we unapenda jogoo wa kienyeji......mbona mimi chotara sasa...[emoji28][emoji28][emoji28]
Mie machotara koko na mazungu siyatakiiii, hata ya kibongo ila yenye umjini mwingii, siyafagilii wala nn.

Nataka kienyejii ojiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie machotara koko na mazungu siyatakiiii, hata ya kibongo ila yenye umjini mwingii, siyafagilii wala nn.

Nataka kienyejii ojiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za kienyeji hizi hapa:
✍Haogei medicated au industrial soap/tena huwa hawaogi wengi wao.
✍washamba sana na wabahili hata wakiwa nazo.
✍Huwezi kuenjoy nao sababu hawana exposure.
✍Hawatoi uhuru kwa wenza wao.
✍They cant copy with the recent lifestyles/know nothing about living life.
Kiufupi bora sisi machotara au wale wa kisasa.....

ila katika matoleo ya wanaume mimi ni chotara hilo sina ubishi.....coz nimeadapt to current globalization to some extent.

Note: new era has shaped the men to bad behaviour, hao wa kisasa wengi wameleft group na kuwa jinsia za OTHERS.....😅😅😅😅😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chiziiii wee!! Chotaraaa wa kienyejiiii? Em semaa kweliii?
Woiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikiona kijana kavaa bukta jezi ya team, anani turn on mnooo.
Namuonaa kijana lijari, tena wa kienyejiii, nikiwa nae naona niko na Dume haswaaa.

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Na joto la Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…