SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Thanks you confess.Sijasema wote mzee baba
Mtu uvae nguo nyingi kama vile unaogopa kupigwa fimbo za namba shuleniπππ binafsi ni boxa na suruali full stop.
Saingine naonaga watu wa bush huko katupia chupi + bukta af chafu hataree mpaka mtu anatuna anakuwa kama putoπππππNimecheka sana
Saingine naonaga watu wa bush huko katupia chupi + bukta af chafu hataree mpaka mtu anatuna anakuwa kama putoπππππNimecheka sana
Mkuu kuna vitu vinastaajabisha sana japo ni mambo binafsi,Haya ndo mambo tumebarikiwa waswahili kujadili watu
Wanajitunza nanini sis hahaha!Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπππ.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
ππππ