cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Tunasubiri majibu kutoka kwa vipimooo.Kwani wale kina noel wamefungwa?
Ila Coca unaweza kubadilika...
Ndipo tutajua hukumu yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasubiri majibu kutoka kwa vipimooo.Kwani wale kina noel wamefungwa?
Ila Coca unaweza kubadilika...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann jamaniiii???Hahahah Cocastic you make my day
Na ndio wamejaaa kibao uraiani, kuanzia kwenye taasisi za umma hadi binafsiKuna watu huwajui Kwa kuwaona hii dhambi imejaa sn Kwa sasa Kuna watu wapi smart kbsa na wanaliwa kiboga
Nilijibu yeye kadri alivyosemaaa, au ulitakaa nijibuu vipii mie??Kote hujacheka ila hapo panaposikitisha kwako ni furaha na vicheko.Uliandika post nzur ila umeiharibu kwa hiv vicheko vyako.
Kama wewe uliharibiwa utotoni ulitakiwa ukemee na kuhuzunika kuona wanaharibika watu wengi sio watu tuko na huzun we unakenua domo lako ndo mana watu wanawachukia mna roho ya kuharibu wengine.
Angalia mnavyoishi kwa kunyanyasika sbb ya kuwa hivyo mlivyo.Unadhan ni sawa hao kina Noel.wanavyobenua vitako vyao il.wadogo.zetu waje waige.then wakapimwe vipenye kama nyie.
Hufai kuhurumiwa wewe upimwe kipenyo utupwe jela ututolee ushuz JF
Sasa huyo cocastic uthibitisho kuwa Ali ingiliwa ni upi?? Ili hali hakuna aliye muingilia?? Unajua unacho kiandika lakini??Sasa mahakama haiwezi kupokea ushahidi wa kwamba cocastic amesema alifanyiwa hivi na Juma, ushahidi wa basha mahakamani hauna mashiko hivyo hutupiliwa mbali
Woteee lazimaa kukemewa na ikithibitikaa, ni kuhukumiwaaa.Unamaanisha wanaume wala tigo za wanawake?...
Mbona wanawake wenyewe ndio wanapenda ....
Tuwakemee wanaume wala mashoga...hao wengine tuachane nao..
Mmh wanawake watoa tigo ni wengi sana...Woteee lazimaa kukemewa na ikithibitikaa, ni kuhukumiwaaa.
Ndo mtakamatwaa woteee.Mmh wanawake watoa tigo ni wengi sana...
Point yangu ni kuwa mahakama haitakubali huo uthibitisho wa mdomo kwamba Juma kaniingilia, kama sio Juma ni John tutajuajeSasa huyo cocastic uthibitisho kuwa Ali ingiliwa ni upi?? Ili hali hakuna aliye muingilia?? Unajua unacho kiandika lakini??
Kwan huyo cocastic hamjui juma? Hadi amtaje John??Point yangu ni kuwa mahakama haitakubali huo uthibitisho wa mdomo kwamba Juma kaniingilia, kama sio Juma ni John tutajuaje
Binadamu tukiwa uchi tunafanyaga mambo ya ajabu sana. Vipi Demi spit in mouth unaweza ukafanya?He he heeeee denda na nani? Not me kwa kweli
Mzee upo [emoji23][emoji23]Binadamu tukiwa uchi tunafanyaga mambo ya ajabu sana. Vipi Demi spit in mouth unaweza ukafanya?
Niko na mchizi wangu Demi ananifundisha mautundu 😅Wewe Demi na mzee wa kupambania mmenichekesha aisee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣hahaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂 Demi Mzee wa kupambania
Nipo mwanawane vipi ushang'oa pisi ya jf?🤔Mzee upo [emoji23][emoji23]
Dah to yeye alinikataa[emoji23]Nipo mwanawane vipi ushang'oa pisi ya jf?[emoji848]
Siku hizi To yeye upepo umemwendea vyema pm yake imejaa kuna foreni vidume vinatuma maombi 😅 wengine mpaka wanamwandikia uzi aisee!🤔Dah to yeye alinikataa[emoji23]
Ndo ivo tuko wengi ila mshindi anatakiwa mmoja tu[emoji23] naishi tu na hivi viwanachuo vicharuko[emoji23]Siku hizi To yeye upepo umemwendea vyema pm yake imejaa kuna foreni vidume vinatuma maombi [emoji28] wengine mpaka wanamwandikia uzi aisee![emoji848]