Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Kote hujacheka ila hapo panaposikitisha kwako ni furaha na vicheko.Uliandika post nzur ila umeiharibu kwa hiv vicheko vyako.
Kama wewe uliharibiwa utotoni ulitakiwa ukemee na kuhuzunika kuona wanaharibika watu wengi sio watu tuko na huzun we unakenua domo lako ndo mana watu wanawachukia mna roho ya kuharibu wengine.
Angalia mnavyoishi kwa kunyanyasika sbb ya kuwa hivyo mlivyo.Unadhan ni sawa hao kina Noel.wanavyobenua vitako vyao il.wadogo.zetu waje waige.then wakapimwe vipenye kama nyie.
Hufai kuhurumiwa wewe upimwe kipenyo utupwe jela ututolee ushuz JF
Nilijibu yeye kadri alivyosemaaa, au ulitakaa nijibuu vipii mie??
 
Unamaanisha wanaume wala tigo za wanawake?...
Mbona wanawake wenyewe ndio wanapenda ....
Tuwakemee wanaume wala mashoga...hao wengine tuachane nao..
 
Sasa mahakama haiwezi kupokea ushahidi wa kwamba cocastic amesema alifanyiwa hivi na Juma, ushahidi wa basha mahakamani hauna mashiko hivyo hutupiliwa mbali
Sasa huyo cocastic uthibitisho kuwa Ali ingiliwa ni upi?? Ili hali hakuna aliye muingilia?? Unajua unacho kiandika lakini??
 
Sasa huyo cocastic uthibitisho kuwa Ali ingiliwa ni upi?? Ili hali hakuna aliye muingilia?? Unajua unacho kiandika lakini??
Point yangu ni kuwa mahakama haitakubali huo uthibitisho wa mdomo kwamba Juma kaniingilia, kama sio Juma ni John tutajuaje
 
Back
Top Bottom