Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Watajwe na wakamatwe na kufungwa kifungo cha maisha. Hii ndio itaondoa hii dhahama ya ushoga na ulawiti Tanzania

WATAJWE, WAKAMATWE NA WAFUNGWE JELA

ULAWITI, USAGAJI NA USHOGA HAUKUBALIKI TANZANIA
Sio rahisi kivile mama'angu. Kufungwa jela ni lazima Uhukumiwe mahakamani. Ili uhukumiwe mahakamani ni lazima upatikane na Hatia chini ya kifungu fulani. i.e. Kesi ifanyike.
Ili upatikane na hatia ni lazima Kosa la Uvunjifu wa Sheria husika Uthibitishwe pasi na mashaka. Ili Kosa lithibitishwe ni lazima pawepo Ushahidi wenye mashiko.Ili Ushahidi wenye mashiko uwepo ni lazima Shahidi aithibitishie mahakama ushahidi wake anaoutoa Mahakamani unatokana na nini e.g. Kuwepo kwenye eneo la tukio au yeye mwenyewe kushiriki katika tukio linalo lalamikiwa. Kutajwa jina sio Ushahidi wenye mashiko. Watatishwa-tishwa tu lakini hakuna atakayefungwa jela kama unavyodhani.
 
Watajwe na wakamatwe na kufungwa kifungo cha maisha. Hii ndio itaondoa hii dhahama ya ushoga na ulawiti Tanzania

WATAJWE, WAKAMATWE NA WAFUNGWE JELA

ULAWITI, USAGAJI NA USHOGA HAUKUBALIKI TANZANIA
Sasa mama D, unaposema hao wanao waingilia wanawake/wanaume wenzao; watajwe, wakamatwe na wafungwe! Unaelewa lakini namna hilo zoezi lilivyo complicated?

Kwanza mara nyingi linafanyikia faragha! Na kwa makubaliano ya pande mbili! Je, unadhani ni rahisi mtu aliyefanyiwa hicho kitendo kujitokeza hadharani na kutoa ushahidi?

Halafu serikali ya ccm mbona mmeshupalia sana haya mambo ya ushoga, na wakati nchi inapitia matatizo mengi zaidi ya huo ushoga mnao upa promo! Maana ulishakuwepo kitambo tu.

Hivi matatizo kama ya ufisadi uliokithiri serikalini, kupanda kwa bei ya vyakula, nk hayana mashiko kwa upande wako! Isipokuwa ushoga tu!

Vipi kuhusu hawa wezi wa fedha za umma ambao wametapakaa kwenye serikali ya ccm! Kwa nini tusiwakamate kwanza hao na kuwafunga? Halafu baadaye ndiyo tuhamie kwenye ushoga, ambao kwa kweli mnajitahidi kuupa promo!
 
Sasa mama D, unaposema hao wanao waingilia wanawake/wanaume wenzao; watajwe, wakamatwe na wafungwe! Unaelewa lakini namna hilo zoezi lilivyo complicated?

Kwanza mara nyingi linafanyikia faragha! Na kwa makubaliano ya pande mbili! Je, unadhani ni rahisi mtu aliyefanyiwa hicho kitendo kujitokeza hadharani na kutoa ushahidi?

Halafu serikali ya ccm mbona mmeshupalia sana haya mambo ya ushoga, na wakati nchi inapitia matatizo mengi zaidi ya huo ushoga mnao upa promo! Maana ulishakuwepo kitambo tu.

Hivi matatizo kama ya ufisadi uliokithiri serikalini, kupanda kwa bei ya vyakula, nk hayana mashiko kwa upande wako! Isipokuwa ushoga tu!

Vipi kuhusu hawa wezi wa fedha za umma ambao wametapakaa kwenye serikali ya ccm! Kwa nini tusiwakamate kwanza hao na kuwafunga? Halafu baadaye ndiyo tuhamie kwenye ushoga, ambao kwa kweli mnajitahidi kuupa promo!
Wasichielewa watu wengi. Siasa ya haki sawa kwa kila mtanzania, ni siasa ya ushindi. Iko very blind. Watu waishi kwa amani. Bila kuvunja sheria basiii!!!
Ila tunapoelekea, hawa watu watataka serikali itamke hadharani what is thre stand. Of which ni bad thing.
Baba na mama si mashoga. Mtoto wao ni shoga, wakiume wapekee, mtoto wao wakike, anaingliwa kinyume na maumbile umfunge mwaka😂😂😂😂. Sidhani kama majority waakubali hili.
 
Nikimbukumbuka yule dogo jinsi mama ake mzazi alivyokwenda kumshukia pale kisutu mahakamani dah ilinisikitisha snaa sijui yule dogo alikuwa anakabiliwa na kosa gani ila nimeona siku zile mam ake aliniudhunisha snaa
Yule singo maza
 
Ufisadi ndio una madhara makubwa sana kwa jamii.
Ushoga nisioufanya hauna madhara kwangu
Watu wana hangaika na miili ya watu, nchi ina vichekesho hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lala Land
 
Back
Top Bottom