Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
She is not.
You are better than this mama D
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are better than this mama D
Sio rahisi kivile mama'angu. Kufungwa jela ni lazima Uhukumiwe mahakamani. Ili uhukumiwe mahakamani ni lazima upatikane na Hatia chini ya kifungu fulani. i.e. Kesi ifanyike.Watajwe na wakamatwe na kufungwa kifungo cha maisha. Hii ndio itaondoa hii dhahama ya ushoga na ulawiti Tanzania
WATAJWE, WAKAMATWE NA WAFUNGWE JELA
ULAWITI, USAGAJI NA USHOGA HAUKUBALIKI TANZANIA
Sasa mama D, unaposema hao wanao waingilia wanawake/wanaume wenzao; watajwe, wakamatwe na wafungwe! Unaelewa lakini namna hilo zoezi lilivyo complicated?Watajwe na wakamatwe na kufungwa kifungo cha maisha. Hii ndio itaondoa hii dhahama ya ushoga na ulawiti Tanzania
WATAJWE, WAKAMATWE NA WAFUNGWE JELA
ULAWITI, USAGAJI NA USHOGA HAUKUBALIKI TANZANIA
Ukweli lazimaa usemwee, na utasemwaa tyuuh.Kabisa.... Waingiliaji na wasagaji wakamatwe pia, hii ndo haki yenyewe sasa....
Wotee ni jelaa, hakuna namna.Daah! hii vita ni ngumu sana, kama imevuka mpaka mbali hivyo [emoji1][emoji1]
Wasichielewa watu wengi. Siasa ya haki sawa kwa kila mtanzania, ni siasa ya ushindi. Iko very blind. Watu waishi kwa amani. Bila kuvunja sheria basiii!!!Sasa mama D, unaposema hao wanao waingilia wanawake/wanaume wenzao; watajwe, wakamatwe na wafungwe! Unaelewa lakini namna hilo zoezi lilivyo complicated?
Kwanza mara nyingi linafanyikia faragha! Na kwa makubaliano ya pande mbili! Je, unadhani ni rahisi mtu aliyefanyiwa hicho kitendo kujitokeza hadharani na kutoa ushahidi?
Halafu serikali ya ccm mbona mmeshupalia sana haya mambo ya ushoga, na wakati nchi inapitia matatizo mengi zaidi ya huo ushoga mnao upa promo! Maana ulishakuwepo kitambo tu.
Hivi matatizo kama ya ufisadi uliokithiri serikalini, kupanda kwa bei ya vyakula, nk hayana mashiko kwa upande wako! Isipokuwa ushoga tu!
Vipi kuhusu hawa wezi wa fedha za umma ambao wametapakaa kwenye serikali ya ccm! Kwa nini tusiwakamate kwanza hao na kuwafunga? Halafu baadaye ndiyo tuhamie kwenye ushoga, ambao kwa kweli mnajitahidi kuupa promo!
Yule singo mazaNikimbukumbuka yule dogo jinsi mama ake mzazi alivyokwenda kumshukia pale kisutu mahakamani dah ilinisikitisha snaa sijui yule dogo alikuwa anakabiliwa na kosa gani ila nimeona siku zile mam ake aliniudhunisha snaa
Kwa mwanamke ni sawaWanawake wenyewe sahv wanapenda
Huoni kwenye mitandao huko,wanashindana kuonesha makalio na kuyatingisha
Ova
Hahahah hivi wale watoto wako mashoga hawajambo au bado bima hawajakulipa?Na baba yako anaweza akawa shoga, huwezi jua
VyoteWewe shoga msagaji basha?
Imekuaje ndugu yangu 😂Ukweli lazimaa usemwee, na utasemwaa tyuuh.
Kutwa kila dem mtandaoni anajibinuabinua mtkKwa mwanamke ni sawa
Kwa mwanamume sio sawa kabisa
Wanawake wenyewe hawana akili wanahamasishana wenyewe kwa wenyewe.
Wanashinda wakibinua na kukuza matako
DuhHahahah hivi wale watoto wako mashoga hawajambo au bado bima hawajakulipa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ndugu wee acha, mbna nshaweka mkeka wangu hapo juu.Imekuaje ndugu yangu [emoji23]
Ufisadi ndio una madhara makubwa sana kwa jamii.Hii adhabu ilipaswa kuwa kwa mafisadi wa pesa za umma na wezi wa kura.
Mi nasema waliwe tu, uzuri wanatoa wenyeweKutwa kila dem mtandaoni anajibinuabinua mtk
Wanantka waliw jicho tu
Ova
Mkuu unaogopa na wewe kukamatwa nini[emoji23]
Watu wana hangaika na miili ya watu, nchi ina vichekesho hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ufisadi ndio una madhara makubwa sana kwa jamii.
Ushoga nisioufanya hauna madhara kwangu
Unakamatwaaaa 30yrs jelaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu tatizo wanawake wa siku hizi wanakufanya uwe attention na sehemu zao za kukalia hata kama ulikuwa hauna mpango napo.