Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Wanaume mnaowaingilia wanaume wenzenu, na wanawake kinyume cha maumbile arobaini yenu imefika!

Mungu mwenyewe kashindwa sembuse nyie binadamu. Haya kila la kheri siku mkifanikiwa mtujulishe. Tupo tumekaa paleeee

Mungu hajawahi kushindwa tusipobadilika tujiandae kupokea mapigo. Kama waliyoadhibiwa waliotutangulia

MWANZO 6:1-3
Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
 
Sasa hivi naona mitandaoni wapo wengi wanajipost,hivi kweli serikali kama ipo serious,si wangewakamata?
Nani hamjui James Delicious kwa mfano?
Na wengine weeengiii,mi nadhani serikali ilikua na nia ya kupotezea agenda flaniflani,kama enzi za Majaliwa wa ndege,uzembe wa serikali katika kuokoa,ambapo dogo ndiyo aliwekwa kama ajenda kuu.
 
Mungu hajawahi kushindwa tusipobadilika tujiandae kupokea mapigo. Kama waliyoadhibiwa waliotutangulia

MWANZO 6:1-3
Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
Kwahiyo Mungu amewapa mamlaka ya kuwateketeza?
 
Wameacha kulea watoto wao katika njia ipasayo wanakuja kudeal na madhara yaliyokwisha fanyika.

Na huu mtandao ulivyo na nguvu sasa, Wanashindana na wamerekani.
hii kitu inaweza ikawa kawaida miaka 50 ijayo kama jinsi ukristo ulivoanza kwa kukataliwa miaka ya 1800s....
 
Wameacha kulea watoto wao katika njia ipasayo wanakuja kudeal na madhara yaliyokwisha fanyika.

Na huu mtandao ulivyo na nguvu sasa, Wanashindana na wamerekani.
Yaan mtu anashindwa kulea na kulinda watoto wake, anabaki kusakama wasio muhusu, utadhani jukumu la malezi lipo kwa wengine, kumbe ni lake mwenyewee
 
Jinga wewe, unafananisha vipi Ukristo na ushoga? una akili kichwani kweli?
ukristo ulivokuja, si ulikataliwa?? haikuwa tamaduni yetu, lakini mzungu akalazimisha mpaka ikaonekana kawaida, tamaduni zinabadilika kwa kupitia influence ya tamaduni zingine. Huu ndo ukweli....
 
Back
Top Bottom