Wanaume mnashauriwa kufanya usafi sana wa maeneo haya ya mwili...

Mkuu uchafu ni tabia ya mtu awe male or female huwezi povuka kiasi hicho kwa male tu
 
ulikuwa unayachana na kitana?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
ndugu kwa povu hatutofautiani
 

shenzy nacheka kama mazuri wewe kiboko.
 
Wakati wa kupiga deki utaona![emoji4][emoji4][emoji4]
Ulitaka kujua ukweli ni nini? Mf...Wewe ni mwanaume.je ni kweli au ni uwongo?????,nijibu halafu .......unasubiriwa jf intelligence.
 
Hivi kumbe unaongelea kujinyoa?

Sikumbuki mara ya mwisho kujifanyia hizo huduma ni lini, ukiondoa kuswaki.

Na hizo Habari za kunyoa nywele za makalio siku nikikutana na mtu ana hizo habar anapata SUMMARY DISMISSAL
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…