Wanaume mnashauriwa kufanya usafi sana wa maeneo haya ya mwili...

Sasa nyinyi wanaume nyoeni izo nywele za kunduchi alafu konki master akuweke kwenye list yake alaf pia mwanaume tuoge nusu saa nzima kweli sindio watu watajua tuwashirika wa chaputa aaaaaaaahhhh kwendraaa weeeee dakika 5 inanitosha
 
kwa pamoja tumesema hatunyoi..
 
Kuna wanaume wana vuzi kama steel wire .linachana chana papuchi ukitoka hapo unafungwa bundeji mwezi.
Vuzi lingine guumu kama fensi ya Umeme mpaka linapiga shot I
Kweli nyoeni vuzi,ili vitu vikutane nyama kwa nyama bna
kama fensi ya umeme 😀😀😀😀
 
Mbona nyie wenyewe huko chini mnafuga hadi tukizama uvinza zinabakia kwenye meno
 
Sielew unawaza nini?. Maana nimejikuta nawaza style ya kujinyoa kwenye mfereji dume zima bado majibu sijapata kabsa.
huna dressing table yenye kioo? au kioo kidogo? sasa si unaweka chini unatandika hata shuka unaanza kunyoa shida ipo wap?
 
Wavulana wa mikoani, shutuma zimewekwa dhidi yenu, haya embu jibuni, mtuondolee fedheha.
Kwahyo mkuu unamaliza saa zima kuoga tu hiyo ngumu kumesa. Af kata mav** unaanzaje kunyoa ??? Utaanza kutekenywa na shaver baadaye utapenda ukunwe [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji15]
 
Ati nitumie 1 hour kuoga, kwani nini,mimi sio mkulima wa mahindi anayesida shambani huko rukwa, pengine nitumie hio 1 hour nikiosha my S560 sedan merc, mimi mtu wa ofisi, kwani kazi kuoga tu, nina kazi nyingi sana, na nyinyi dada zetu nikikosa kukupeleka holiday, nikikosa kukununulia ile forester subaru unayoipenda kaa nini unaaza nilaumu ati mimi muvivu,mimi dakika 10 zinatosha nimesatoka kwa bathroom, perfume , lotion, hizo nakuunga mkono sikosi haswa ile perfurme ONE MAN SHOW, so nataraji umenielewa.
 
Na sinyoi, misitu ndio inayoleta mvua..

Halafu dume zima utaanzaje kujinyoa nywele za tako!? Unajikunja kabisa unapititsha shaver rwaah rwaah.. Pumbavu kabisa..
nyoa shwaaa shwaaa kesho hakuna kwenda nalo ofisin
 
Labda wanaume wa dar ndo watanyoa "makata mavi" ila wa huku mkoani ni mwendo wa msitu wa amazon kama kawa.
Af ukute Kuna wengne takle nywele zmejaa Kama kichwa Cha mtoto naye anyoe pia!!!! Huo sio usafi aseee kwanza mm mwanamke hata takle langu simruhusu kabisa ashike
 
nimekuelewa ila kati ya dk 10 hizo ongeza 5 kama v,zi lipo litoe maana nikilikuta kyupi yangu begani nasepa. na hayo majukumu yote utafanya mkuu huo ndo uanaume mkuu. hope umenielewa😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…