Wanaume mnatoa wapi ujasiri wa kushare Mwanamke?

Usiyemfahamu ndo hatari Zaidi Ukute anauza usiku, bora amabaye unajua nyendo zake japo Kwa uchache
 
Wakati tunajifunza ngono miaka ya nyuma tulikuwa tunapiga foleni kwenye vyumba vya akina mama toka Kagera. Mlango mmoja mnaweza kuwa hata watu saba yaani akitoka hapo hapo unaingia.
Nasikia hata siku hizi Temeke na Mwananyamala vibañda vingi mambo ni hayo
Unachoona kinyaa wewe ni cha mtoto tuu., 😁
 
Kuna watu hawana kinyaa kabisa linapokuja swala la kusex...binafsi siwezi lala na mwanamke ambaye najua alilala na fulani.
Ni wewe tu. Sema nini, hujui huyo uliyempiga kama katoka kupigwa saa moja iliyopita.

Iko hivi, safari nilikuwa Tanga majani mapana mazingira fulani guest house za ndani ndani hivi. Tuko sebuleni tunaangalia mpira, akapita dada ambaye namfahamu. Ni wa laskazoni.

Aliingia kaka mmoja akapiga na kutoka. Siyo muda akaingia kaka mwingine akapiga na kutoka. Akaingia mwingine akaendelea. Baada ya muda akatoka.

Dada alipokuwa anatoka alinitambua. Akanipigia nimfuate alipokuwa mbali kidogo na pale.

Akanisihi nisimwage mchele. Nikamwambie anipe mzigo. Alikubali. Akaniomba anipe hela kwakuwa ashafanya sana amechoka na hawez tena kurudi mle ndani. Ila nikitaka siku yoyote angenipa mzigo.

Nikachukua hela nikasepa.

Katika mazingira kama hayo unaweza kujua huyo dada ni wa pekeyako au unapiga wewe tu?

Chukua demu piga sepa. Ukimfuatilia maisha yake hakuna demu utamtaka.

Huyo uliyemwoa bikira, wenzio tulipiga tigo na baada ya kuolewa anatugawia mbunye kama kawa. Tena anagawa hadi anapokuwa mjamzito huko.

Siri za watu tu. Usijifanye kuwashangaa wanaofahamika ukawasifu wasiofahamika.
 
Unaopiga wote huwa mabikra?, Au unajifariji tu. Kifupi huwajui wanawake wewe.
 
Ni heri shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua. Kila mtu afanye kwa utashi na amani ya moyo wake.
 
Threesome pia hauwezi?
Huu ujinga umekuwa common siku hizi, malaya wanajipigia pande eti tupo na mwenzangu utuchukuwe wote[emoji23]. Dah unaenda kupoteza hela bure kwanza huwez kuwashughulikia wote, utapiga kimoja chali.
 
Asee umejibu unavyotaka wewe ...haujajibu nilichokiandika mimi.

mimi nilisema siwezi lala na ke ambaye najua analala na fulani...sikusema nataka bikra mimi sio muhumini wa hizo bikra...
 
Asee umejibu unavyotaka wewe ...haujajibu nilichokiandika mimi.

mimi nilisema siwezi lala na ke ambaye najua analala na fulani...sikusema nataka bikra mimi sio muhumini wa hizo bikra...
Niwie radhi rafiki, usijali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…