Wanaume mnatoa wapi ujasiri wa kushare Mwanamke?

Wanaume mnatoa wapi ujasiri wa kushare Mwanamke?

Kama hutaki kinyaa tafuta bikra utoboe mwenyewe ubaki naye vinginevyo wote tunakulaga leftovers tu za mabaharia...
 
Hiki kitu nataka niwaulize wanaume wenzangu, inakaaje unafahamu mwanamke flani anatoka na flani na wewe anampangia foleni unapiga hivi huwa hamna kinyaa
Mbona tukienda hotelini tunatumia vijiko, vikombe, sahani wote wala haviwekwi leble kuwa hiki cha Masanja na kile cha Kalumanzila?

Anyway kwa ufupi ni kwamba kuna vionjo huwa kama wale chura wa Kihansi, havipatikani popote duniani
 
Vipi wale wa kwenda Sinza, Sudan, Tandika na Uwanja wa Fisi pia hao unawaonaje?
 
Hiki kitu nataka niwaulize wanaume wenzangu, inakaaje unafahamu mwanamke flani anatoka na flani na wewe anampangia foleni unapiga hivi huwa hamna kinyaa? hivi hamkumbuki stori za ngoma, mwanao anapiga kesho umekaa naye sehemu moja mara unamuona ana punye, au anakohoa haikuletei mshituko na hofu?

Binafsi sipigi mwanamke wa mtaa mmoja, au ninayefahamu skendo zake mwanamke ninayemfahamu huwa simpendi kabisa, unanza kuwa subject na stori zake, mambo yake yanakufika kiufupi hilo sawa na demu wa ofisini, yaani tuwe ofisi moja halafu nimchakate.
Af niuwaki bola ufe kuliko kushare
 
Tunapanga foleni kwa wale wa kagera itakuwa wa mtaani nikisikia wana wamepewa na mm naenda nikapewe ukiona kinya kula mbunye una matatizo
 
Back
Top Bottom