Wanaume mpeni maua Kamishna ACP Debora Magilimba

Wanaume mpeni maua Kamishna ACP Debora Magilimba

Alingie kitu hakina hata uzito wa robo kilo ya nyama na kinachonuka kama nyama iliyooza na bado umuweke chini ! Hua mnafanyaje , tafuta pini zaidi yake jifariji jipe Raha ,ukiona unanyinywa jua kuna mtu huko anabembeleza kupewa na huyohuyo mwanamke , nae hisia zikiisha atamnyima hiyo ndio circle ukiijua hutoteseka
sasa kwanini uingie hasara, kumbuka huyo wa ndani unakuwa umemlipia, wa nini uendelee kumfuga ndani ili hali hawajibiki, ndo maana nimesema mkalishe chini kabla haujafanya hayo maamuz ili alipwe huko na ww uwe huru kuvuta chombo ingine
 
mie ntampeleka kwa Debora kabisa, huyu wangu kichwa ngumu sana, unampeleka dawati unamwachako ukifika home keshafika tayari
 
Amenikumbusha kuna mkaka alimpeleka mwanamke kwa baba yake anataka kuoa akamwambia huyo n dadakoo nilixaa nje ya ndoa

Akawakutanisha na mamaa mtoto kuulizwa alasema kama mmpendana oaneni tu maana hata baba yake mzazii sikumbuki alikufa linii miaka ya nyuma

Ubaya ubwela
 
mie ntampeleka kwa Debora kabisa, huyu wangu kichwa ngumu sana, unampeleka dawati unamwachako ukifika home keshafika tayari
Mi kila akitoka kanisan kachokaaa aisee nkaona na mie nianze kwenda kanisan kws sada akisema tumechoka namwambia tutachoka sana laxima unipe na kanisan tumetoka wote nani ajachoka
 
Duuh pole sana mkuu ni changamoto kubwa sana. So ulioa tena?
Yes mkuuu nilikwensa efathwa nkasali wewee badae nkapata bibi nkawa naishi nae tukaxaa badae nkamfwatanpast nimechoka na uzinzi akauliza why nkamwelexa akaomba cheti nkampelekea baada ya wiki akanipa ratiba za ndoa siku flan na flan mwezi flan atukukaa miezi 3 niliita baba mkwe mamakwe kaka na dada 5 joran tukala nyumban lamziki biashara kwishna sikuchangisha kwahio hata aliekuja kulewa alishindwa kunhoji

Na niliogopa sanaa sana mkuu ufahari wa ndoa maana nilioa 2005 sherehe diamond jubilee sina hamu na sherehe za ajabu ajabu zingine nuksi...niliweka hapa story yangu ya ndoa na nilichokuyana nacho kwenye zawadi seacliff meneja tulimsusia zawadi maana moto wetu ulianxia hnymoon m nkakimbia siku ya 4 mwenzangu sikujua kama alileta bwana mwingine wammalizie 3 days woi

Akarudi baada ya wiki..2.pale ndipo nkajua lwanini kitimoto aipikwi na mafuta
By that Time nakula mema ya nchi kweli na 24
 
Namtaka nikamuone huyo kamishina Debora.Lakini sharti tuonane Naye usiku akiwa peke yake hotel furani na asivae manguo yake ya kikamanda
 
Nduguu ndioo pepo lililoingia kwa sasa kwenye ndoa

Juzi unaambiwa mtu kachinja mke alafu mdada mkuu wa kituoo anasema yaan haya n ambayoo yanaripotiwa yasiyoripotiwa n mengi sana mauwaji kisa kunyimana unyumbaaa
Hali ni mbaya kwa kweli
 
2005
Nilioa
Mke akatangaza niache kazi tufanye biashara nkagoma
Akaja na tukasome masters de
london kaleta ma docs fake kibao kapata chuo na mdhamini kashalipia nnkagoma
Kaja na part 3
Kunyimana unyumbaaa weeeee nkamwambia naijua hiooo hiii kidogo naimudu

Akaanza kurudi saa saba nkarudi sakumi

Akanchokq akaanza kulala na marafiki zake chumban nkaona hapa sio hapo n wiki 4
Nkapanga nguo vyeti begi..siku hari limekuja yuko na rafiki yake nkawàga kila la kheri wote nasafiri oooh wapi nkamwambia nkifika airport ntakwambia hapo sinxa

Baada ya mwaka akapiga anaomba nimsaidie talaka nkamwambia dk 0
Nkaenda mahakaman kawe mm nkahonga wansaidie wakasema aisee huyu dada wala huotaji kutoa chochote hiyu ukija mwezi ujao nakusainisha

Imoooo aiseee sijawahii kunywa kama ile siku kwa kweli

Akabadili dini akaolewa na msilamu hahaha akakutana na moto alimdanganya hanywi pombeee wewe akaact akanza mambo yake miezi 3 wakaachana

Haha akaja akakaa na mume wa mtu baada mume akamrudia mkewee znz

Hahahaa akataka kurudisha laana zake kwangu nkabadilo na namba za simu akapewa sijui na nani namba mpya nkamwambia ndugu hii sio dini sibadilishi tena nambaa naomba uniache nkamblock...sasa hivi hata sijui alipo

Yaan unyumba asikutese mtu

Aisee nijuze la wapi hayamakanisa mengi sanaa..
Hapa ndio naamini ule msemo "Maisha ni vita"
 
Yaani baada ya kamishna kusemaa unaambiwaaa dawati lilijaaa asbh mapemaaa acha kabisaa nendeni mkaulize hii story

Yaa. Wanaumeee mnakufa na mengi sanaa nakamaa hauna moyo wa uvumilivu ndio unasikia kamuua mkewe kwa kunyimwa unyumba

Mnavumilia mengii sanaaasqnqq


Kamishna nasubiria ujumbe wako 2024 siku 16 pls
Bila shaka ataenda mbazi zaidi,hata na ufafanuzi wa karandinga jeupe linalozurura.
 
kwa upande wa dini ya kiislam, Muumba alikuwa keshajua toka dunia alipoiumba Kama kuna udhaifu kwa wannawake ambao unatokana na sababu nyingi tunazozijua na tusizozijua, Ndio maana akabainisha katika kitabu chake kitukufu. Süratlul Nisaa (sura ya wanawake) aya ya 3
…..,,"basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wane. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu”……

Hii offer hapati tabu mwanamke wala mwanamme.
Wanawake kwenye ukewenza anakuwa na jitihada za ziyada İli ahakikishe anafanya vizuri, na mwanamme na yeye akili na mwili huimarika vizuri kwa sababu anapata utulivu wa kutosha, Hakuna msongo wa mawazo.

Naomba msinikashifie dini yangu kWa sababu kuna magwiji hapa ukumbini wao kazi zao kukashifu dini za wenzao.
Kama haijakupendezea pita tuu
Ahsanteni
Dhambi zenu tu ndio zinasababisha haya yote! Mke mwema mtu hupewa na Mungu. Kama humji Mungu utaangukia papaya. Lakini Mungu kaumba mtu mume na mtu mke akawaozesha. Hakukuwa na wake wawili ni mume mmoja na mke mmoja tu.
 
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, mkoani Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Debora Magiligimba, amewataka wanaume wanaonyimwa unyumba kuripoti katika madawati ya jinsia yaliyopo katika vituo vya polisi kwani huo ni ukatili.

ACP Debora ametoa wito huo Desemba 1,2021 wakati wa maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili yaliyofanyika katika viwanja vya Tabata shule ambapo pia alikabidhi vitambulisho maalumu kwa madereva bodaboda na bajaji ili iwe rahisi kutambulika.

"Kunyimwa unyumba husababisha kupata ukatili wa kisaikolojia yanapotokea hayo nendeni dawati la jinsia mripoti...nasikia mnauliza mnaanzaje wewe njoo tutakusikiliza," amesema Kamanda Debora.

Chanzo: Mtanzaniadigital

#edwinmoshiupdates

Kwa hiyo watawakama wanaodaiwa kunyima unyumba waume zao? Utahitqjika kupeleka ushahidi si eti kwamba umenyimwa toka january?

Haya mambo ni complex kidogo.Yanahitajika kuyaangalia kwa kina.Unaweza kuyafanya kishabiki na usipate majibu.
 
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, mkoani Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Debora Magiligimba, amewataka wanaume wanaonyimwa unyumba kuripoti katika madawati ya jinsia yaliyopo katika vituo vya polisi kwani huo ni ukatili.

ACP Debora ametoa wito huo Desemba 1,2021 wakati wa maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili yaliyofanyika katika viwanja vya Tabata shule ambapo pia alikabidhi vitambulisho maalumu kwa madereva bodaboda na bajaji ili iwe rahisi kutambulika.

"Kunyimwa unyumba husababisha kupata ukatili wa kisaikolojia yanapotokea hayo nendeni dawati la jinsia mripoti...nasikia mnauliza mnaanzaje wewe njoo tutakusikiliza," amesema Kamanda Debora.

Chanzo: Mtanzaniadigital

#edwinmoshiupdates
ACP Debora maua yako haya hapa. 💐🌹
 
Kwa hiyo watawakama wanaodaiwa kunyima unyumba waume zao? Utahitqjika kupeleka ushahidi si eti kwamba umenyimwa toka january?

Haya mambo ni complex kidogo.Yanahitajika kuyaangalia kwa kina.Unaweza kuyafanya kishabiki na usipate majibu.
ushahidi gani tena mkuu? Debora ni proffessional anaweza mtizama mtu akajua jinai iko wapi
 
"Kunyimwa unyumba husababisha kupata ukatili wa kisaikolojia yanapotokea hayo nendeni dawati la jinsia mripoti...nasikia mnauliza mnaanzaje wewe njoo tutakusikiliza," amesema Kamanda Debora.
Picha ya Debora tumuone
 
Magiligimba acha kujianzishia uzi
 
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, mkoani Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Debora Magiligimba, amewataka wanaume wanaonyimwa unyumba kuripoti katika madawati ya jinsia yaliyopo katika vituo vya polisi kwani huo ni ukatili.

ACP Debora ametoa wito huo Desemba 1,2021 wakati wa maadhimisho ya Siku 16 za Kupinga Ukatili yaliyofanyika katika viwanja vya Tabata shule ambapo pia alikabidhi vitambulisho maalumu kwa madereva bodaboda na bajaji ili iwe rahisi kutambulika.

"Kunyimwa unyumba husababisha kupata ukatili wa kisaikolojia yanapotokea hayo nendeni dawati la jinsia mripoti...nasikia mnauliza mnaanzaje wewe njoo tutakusikiliza," amesema Kamanda Debora.

Chanzo: Mtanzaniadigital

#edwinmoshiupdates
Pumbavu!

Watu wanatekwa, kuteswa na kuuawa halafu wewe unatuletea ugoro hapa.

Shenzi tipe.
 
Back
Top Bottom