MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Men age like fine wines, the older it gets, the sweetest it becomeKumbe babu
Haya babu yetu
Uongooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona hatariNi vile tu bado hujamfumania [emoji23]
Asubuhi mchana usiku πJamanii
Huwa mnataka mpatiwe tatu Mara ngapi kwa siku?
Maamaeππππ
Kwakweli haikuwa Adam na huyu πππAdam na HAWA,,elewa io hawa.
ingawa m mwenyewe sjaielewa,, enewei labda tuwakillπ
We cacutee...ina maana we hujui kama wanawake mko wengi zaid ya wanaume?Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
ππ, Hii ID inatia mashaka kabisa...Halafu kuna new members wa kike wengi kweli siku mbili tatu hizi, ila comment na mada zao sasa!
ππππWe cacutee...ina maana we hujui kama wanawake mko wengi zaid ya wanaume?
sasa mkipewa nyie wachache hao wanawake wengine watapewa na nan?
Na ndio maana unaona wanaume hatutulii na mmoja lengo letu tuwafikia had wale ambao huduma haijawafikia
Njoo inbox nikueleze tunachopewa na michepukoHya bana Ila kubali kuzeeka babu