Wanaume msiogope kulia, msibanie machozi

Wanaume msiogope kulia, msibanie machozi

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
Kulia sio suala la kike, ni suala la kibinadamu, ukiona yamekukuta na waona kabisa kooni unadukuduku na unataka kulia, tafuta mahali ulie.

Kulia hakuondoi uanaume, yalio ya wanawake wamepewa wanawake, ukiona unacho maana yake waweza kitumia au umepewa uwezo huo, kuumbwa na uwezo wa kulia maana yake unaweza kutoa machozi yakikukuta.

We ukijikuta wataka kulia, jifungie chumbani lia weeee kisha jifute machozi endelea na mambo mengine.

Kitu kibaya kwa mwanaume ni kuendeshwa na hisia tu, ila kulia hakuna shida. Mi ukiniona mtaani nilivyo mtanashati na handsome huwezi amini kua kuna muda najifungia chumbani naliaaa, kisha nafanya maamuzi yasiobebwa na hisia.

Vijana lieni, toeni machozi.
 
Kulia sio suala la kike, ni suala la kibinadamu, ukiona yamekukuta na waona kabisa kooni unadukuduku na unataka kulia, tafuta mahali ulie.

Kulia hakuondoi uanaume, yalio ya wanawake wamepewa wanawake, ukiona unacho maana yake waweza kitumia au umepewa uwezo huo, kuumbwa na uwezo wa kulia maana yake unaweza kutoa machozi yakikukuta.

We ukijikuta wataka kulia, jifungie chumbani lia weeee kisha jifute machozi endelea na mambo mengine.

Kitu kibaya kwa mwanaume ni kuendeshwa na hisia tu, ila kulia hakuna shida. Mi ukiniona mtaani nilivyo mtanashati na handsome huwezi amini kua kuna muda najifungia chumbani naliaaa, kisha nafanya maamuzi yasiobebwa na hisia.

Vijana lieni, toeni machozi.
Kweli kabisa, naona ni aibu kwa mwanaume kulia hadharani,lakini wengi wanajiua, wanapata sonona na wanajiua kwa kukosa mtu wa kuwashauri.
 
Wanaume hawalii hovyo kwakua hawatumii vilio kama silaha. Wanawake wanatumia machozi kama siraha, ukijichanganya kaku-win
 
Cha kushangaza mimi mambo yana yonifurahisha sana huwa ndio nalia mfano Manchester United kubeba FA, ila yanayohuzunisha huwa sijisikii ata kukaribia kulia.
 
Back
Top Bottom