vidmate
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 707
- 1,299
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Men get better with time, women lose value with time..ulisoma literature na Fasihi ukiwa sekondari?...The woman is depicted as a tool for sexual pleasure..!Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje?
Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje, nitawajibu nawaona kama nyumbu! Maana tabia ya nyumbu ni kusahau, akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja halafu anaganda, ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba!
Hivyo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu!
Hivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaani.
Msalimie sana mama sasha aiseeee.Kwa kuchukulia mfano wa mama Sasha basi wanawake wanawake ni viumbe wavumilivu sana, pia ni watu wenye ufahamu na wacharikaji, ubaya ni kwamba na umalaya wangu wote sijapata dame hata nusu ya mama sasha, nitachepuka tu lakini najua wapi naenda kutulia
Asante sana aisee...Sasa inategemea. Mkipendeza tunawaona warembo tunavutiwa kuwaomba gemu. Mkipika vizuri tunawaona wapishi tunapenda kula misosi yenu so tunapokuwa na njaa tunawawaza muda wote.
Mnapolea watoto wetu vizuri tunawaona mama wazuri kwaajiri ya kujenga nanyi familia zetu na kutulelea watoto.
Mnapoheshimu pesa na mali zetu tunawaona partners wazuri wa kushirikiana nanyi katika utafutaji maisha na mali.
Mnapokuwa mnapenda kupewa pesa kwa kigezo cha kuwa mnautamu mwilini na hamtoi bure bila pesa tunawaona takataka na kifaa cha kutumika kutoa hamu za kingono kwa kifupi hatuoni shida kuwatumia na kuwadump kama tissue maana hatuna kazi nyingine na mtu wa namna hiyo zaidi ya kumwagia mayonize na kupita hivi.
Mnapojiheshimu kwa kutokuwa na mahusiano nje yetu yaani kuwa waaminifu tunawaona kama malaika kutoka mbinguni na chanzo cha utulivu wa nafsi zetu na kichocheo cha Amani kila mnalosema linatuingia hadi moyoni sababu mnatuheshimisha katika jamii.
Mnapotujali kwa kutulinda, kutuombea, kuhofu pale msipotuona kwa muda fulani, mnapolilia tusiwaache na kusihi tusiwatenge na kutaka tuwe karibu yenu kwa gharama yoyote ile na mpo tayari kujitoa kwaajiri yetu kwa utii na kuachana na dunia yote ili mfuate maagizo yetu hapo ndipo huwa mnatumaliza kabisa maana mnakuwa kama mama zetu wamezaliwa upya ili kutulinda watoto wao.
Mnapotutunzia siri zetu,mnapojizuia kutusema vibaya kwa watu wengine,mnapotutetea tukiwa hatupo kwa watu wanaotusema vibaya,mnapokataa kutusengenya tunawaamini nakuwaona watu muhimu sana wa kuwaambia yale yanayotusibu katika ulimwengu huu na hata tukiwa na vitu vya kuficha basi mnapokuwa wasiri mnakuwa na nafasi kubwa ya kujua hivyo vitu.
Mnapokuwa na hasira na ghubu au wivu usiokuwa na sababu muda wote kama namna ya kutafuta attention kwetu tunawaona kama hamjakuwa na mnatakiwa mrudi kwa wazazi wenu wakawafundishe namna ya kuishi na mwanaume na kuongea nae na kuzungumza nae pale mnapokwazika badala ya kuvuta midomo na kuweka sura kama paka aliyenyimwa maziwa.
Mnapokuwa na kiherehere cha maisha, kupanga vitu bila kukaa na sisi kwanza, kuwa na mipango binafsi ya utafutaji wakati tunaishi pamoja, kuwa na ukaribu zaidi na ndugu zenu wa damu na marafiki na kupanga nao mikakati ya utafutaji wa maisha wakati unaishi na mwanaume wako na hajui lolote kuhusu hiyo mikakati, au kuamua kuanza kumiliki assets zako pekee yako kama njia ya kujihami endapo mahusiano yamekwenda kushoto inatupa tafsiri kuwa mnahasi na mnaamua kutuhujumu jitihada zetu kwaajiri ya manufaa yenu binafsi hivyo tunawaona wasaliti ma wezi wa mapenzi.
Kimsingi namna tunavyowaona ni matokeo ya namna mnachagua akili ya kuishi na mwanaume ndio maana ulipofeli na kujihakikishia hakuna mtu ataingia na kuishi unashangaa amekuja kuishi mwanamke mwenzio na ni mwaka wa sita sasa.
Men get better with time, women lose value with time..ulisoma literature na Fasihi ukiwa sekondari?...The woman is depicted as a tool for sexual pleasure..!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ooo woow! VizuriMen get better with time, women lose value with time..ulisoma literature na Fasihi ukiwa sekondari?...The woman is depicted as a tool for sexual pleasure..!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Oo kumbe ni adhabu...nilisahauKwnn wanawake mnajipa nafasi kubwa ktk kuzaa?? Hilo ni jukumu na adhabu mliyopewa pale Eden ila kiuhalisia mwanaume ndie anaeishia kufanya kazi kubwa kuanzia kulea hadi kusomesha ila nyie mnabakia kusema mmezaa mmezaa
Sawasawa.,...ngoja tuendelee kuikalia nchiKuzaa, kunyonyesha n.k hayo huwa ni majukumu yenu kiasili huwa sioni haja ya mwanamke kupewa sifa za ziada kutimiza majukumu yake ya asili.
Lakini pamoja na hayo jinsi ya kike haipewi thamani stahiki katika tamaduni nyingi kuanzia kwenye the so called "vitabu vitakatifu".
Dah! Me kwangu mimi nawaona wanawake kama viumbe visivyoeleweka maana hawapendi sisi tuwachukulie kama vyombo vya starehe ilihali wao hututengeneza tuwaone hivyo. Mwanamke hataki umuone malaya ila kashalalwa hadi kachakaa, Hataki umuone kahaba ila muonekano wake kiujumla kuanzia mavazi hadi akili ni za kikahaba, Anaweza akawa mlevi, malaya na asie mjua Mungu ila akataka aolewe na mwanaume mwenye hofu ya Mungu 🙌Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje?
Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje, nitawajibu nawaona kama nyumbu! Maana tabia ya nyumbu ni kusahau, akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja halafu anaganda, ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba!
Hivyo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu!
Hivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaani.
Dah! Me kwangu mimi nawaona wanawake kama viumbe visivyoeleweka maana hawapendi sisi tuwachukulie kama vyombo vya starehe ilihali wao hututengeneza tuwaone hivyo. Mwanamke hataki umuone malaya ila kashalalwa hadi kachakaa, Hataki umuone kahaba ila muonekano wake kiujumla kuanzia mavazi hadi akili ni za kikahaba, Anaweza akawa mlevi, malaya na asie mjua Mungu ila akataka aolewe na mwanaume mwenye hofu ya Mungu 🙌
Dah! Me kwangu mimi nawaona wanawake kama viumbe visivyoeleweka maana hawapendi sisi tuwachukulie kama vyombo vya starehe ilihali wao hututengeneza tuwaone hivyo. Mwanamke hataki umuone malaya ila kashalalwa hadi kachakaa, Hataki umuone kahaba ila muonekano wake kiujumla kuanzia mavazi hadi akili ni za kikahaba, Anaweza akawa mlevi, malaya na asie mjua Mungu ila akataka aolewe na mwanaume mwenye hofu ya Mungu 🙌
Dah! Me kwangu mimi nawaona wanawake kama viumbe visivyoeleweka maana hawapendi sisi tuwachukulie kama vyombo vya starehe ilihali wao hututengeneza tuwaone hivyo. Mwanamke hataki umuone malaya ila kashalalwa hadi kachakaa, Hataki umuone kahaba ila muonekano wake kiujumla kuanzia mavazi hadi akili ni za kikahaba, Anaweza akawa mlevi, malaya na asie mjua Mungu ila akataka aolewe na mwanaume mwenye hofu ya Mungu 🙌
Aisee,mstari wa mwisho nimeuelewa sanaDah! Me kwangu mimi nawaona wanawake kama viumbe visivyoeleweka maana hawapendi sisi tuwachukulie kama vyombo vya starehe ilihali wao hututengeneza tuwaone hivyo. Mwanamke hataki umuone malaya ila kashalalwa hadi kachakaa, Hataki umuone kahaba ila muonekano wake kiujumla kuanzia mavazi hadi akili ni za kikahaba, Anaweza akawa mlevi, malaya na asie mjua Mungu ila akataka aolewe na mwanaume mwenye hofu ya Mungu 🙌
Nipo serious sana.Sema weye ndiyo umekuwa mwepesi wa kucheka.Hata hivyo,tujitahidi kuyachukulia mambo kwa u-chanya zaidi.Maisha yatugonge.Fedha imekuwa fedheha,haipatikani.Jua linawaka balaa.Joto kama tupo safu ya milima ya Rocky.Basi,tujilazimishe hata kucheka tu.Kuwa serious kidogo bas