Wanaume mtujibu

Wanaume mtujibu

Nipo serious sana.Sema weye ndiyo umekuwa mwepesi wa kucheka.Hata hivyo,tujitahidi kuyachukulia mambo kwa u-chanya zaidi.Maisha yatugonge.Fedha imekuwa fedheha,haipatikani.Jua linawaka balaa.Joto kama tupo safu ya milima ya Rocky.Basi,tujilazimishe hata kucheka tu.
Ha ha haa,aisee....mi kwangu furaha kwanza
 
Back
Top Bottom