Wanaume muda mwingine wanaboa sana

weeee km zoteeee jamani mue jamani na huruna hata ka ni stori si kwa simu jamaniii
Akimpa utasikia wanawake wa JF maharage ya Mbeya maji mara moja na akinyimwa atakuja kusemwa maneno yote. Wanawake wa JF wabaya sijui reject kisa tu umemnyima [emoji197]. Ndo mana wale wapuuzi wakiongea nawacheck nasema hiiiiiiiiiii hata wangenisema Mara 100000 sina k ya mchezo ya kuwapa wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi km 720 kweli unazijua?? Jehova jehova [emoji19][emoji19]inaweza kua umeongeza sifuri maana nyie wanawake kwakuongeza sifuri hamjambo... Izo km 720 tu atoke huko halaf eti akalale peke yake bila sababu na wewe ulale peke yako tu? Hii dhambi hautasamehewa popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inshort wanataka kudo mapema sana.
Sijui hawaridhikagi
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] aseee ukilegea umeliwaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukiliwa unaitwa Malaya. Namshukuru bby wangu huku Ana heshima ndo anaenipa jeuri ya kuwacheka hawa wanaoweweseka na umalaya wangu. Maana kunila hawawezi wataishia kubabaika tu na kuita majina na vile nawajua ndo kabisaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ nadhani walipaswa kupangana kuliko kukerana ili mmoja akikiuka makubaliano afe na roho yake alafu hakuna mambo mazuri ka kuyaongea awali maana yeye kakereka na mgeni kakereka
 
Pole mwenza kuna watu wanakuita malaya? Wamekukula wao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana .....waache Waite majina yote kama hayakuhusu wallah unanenepa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh Mzigua90 sasa unaamuaje? Ukichelewesha kutoa papa unafunguliwa uzi ukiwah unaitwa maharagwe ya mbeya. Unaamuaje? Bora uitwe maharagwe ya mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…