Safi sana ,you are such a Good girl.
Nafaham mpaka naww unamuita kwako niwazi kua "Umeshanogewa naye na ulikua tayar kumpa mambo motomoto".
Ila nilazima umuonyeshe sehem yako ya pili ya aibu za kike wakat huo ukisoma na uvumilivu wake
Kuku wako haraka yann?????.
Ndomara yakwanza, niwazi kua hata miili ilikua haijazoeana, ivo story zingesaidia kuleta Ukaribu wa kimwili zaidi.
Huyo jamaa hajiamin, na niwazi kua alijua asingekutafuna usiku huo basi Asingekaa kukutafuta. Na ametoka huko akijua akifika anakutafuna...( Ungetafunwa kweli wee ungekua mtu wa ajabu ).
Mimi najua, Kesho yake angekutafuna tuuu. Tena angekutafuna hata mchana. Maana naww uko nyumban kwako ungelala lkn kamoyo kanakuuma, unamtaman. Alafu kumlaza mtoto wawatu uko. [emoji23][emoji23][emoji23]
Serious, wanawake mnaroho nzuri sanaaa, nakama Msingeumbwa, Dunia ingeboa sana.
Naomba unikaribishe mkuu. Vile sinaga haraka, hata km ni 2023 nitasubiri tuuuu ,sinaga Haraka mahali ambapo Tumain lipo[emoji119]
Nitashukuru sanaaaaaaaaa !!!!!