Wanaume muoeni huyu dada

Wanaume muoeni huyu dada

ni mtangazaji wa shirika moja la habari duniani.
wengi mnamfahamu sitaki kumtaja labda salim kikeke amtaje . that woman ni mzuri ,ana adabu na heshima ni mcha mungu ila hana hata boyfriend . msiniulize nimejuaje. i wish i could be a man ! nyie wanaume mnataka mwanamke wa aina gani jamani.ningekuwa na kaka ningemuozesha . nimewapa chimbo naombeni mrejesho
Mkuu natafuta huyu mama nilishamwanzishia uzi ukafutwa. Kwa umri wake ni zaidi ya dada kwangu ila nilitokea kumpenda saana. I wish kama angekuwa wa age yangu.

Anaongea fulani tamu, uso analipa hakopeshi pia kwa Muonekano anaheshima nastaha. I love her. Umri tatizo.
 
Mkuu natafuta huyu mama nilishamwanzishia uzi ukafutwa. Kwa umri wake ni zaidi ya dada kwangu ila nilitokea kumpenda saana. I wish kama angekuwa wa age yangu.

Anaongea fulani tamu, uso analipa hakopeshi pia kwa Muonekano anaheshima nastaha. I love her. Umri tatizo.
pole daby
 
Sema mkuu unatafuta mchumba kwa nguvu kuanzia ID yako na matendo, umeona age inasogea kwa kasi ya fast jet.
 
Back
Top Bottom