Wanaume mwenye akili timamu hawezi kutembea na mke wa mtu


Tusilaumu wanaume mkuu kuna wake za watu wengine kichefu chefu wao ndiyo wanashoboka kwa wanaume.
 
Mimi nishatembea na mke wa mtu Mara Moja ila huwa najutia Sana hicho kitendo.
Aisee sitokaa nirudie Tena kuzini na mke wa mwenzangu.
Kuna mke wa mtu halaf kuna mkr wa mwenzako...wew unazungumzia yupi??

Mimi ukijilengesha nikajaribu halaf ukaelekea kibra wallah sikuachiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…