Hata mimi sipendi, ikitokea nimekula nakula basi tu. Sipendi kabichi, sipendi mlenda, sipendi pilau, ikitokea nimekula nakula basi tu ila siyo kitu nachopendaNi kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
daah kweli wew nafaka...Hata mimi sipendi, ikitokea nimekula nakula basi tu. Sipendi kabichi, sipendi mlenda, sipendi pilau, ikitokea nimekula nakula basi tu ila siyo kitu nachopenda
Haina madhara Mkuu labda hizi za artificial...Kwani inaleta hasara yoyote kwenye uwanaume wetu au ??
Embu mnijuze mapema
Technically sipendi vyakula ambavyo vina spices kwa wingi au vimepikwa kwa mafuta mengidaah kweli wew nafaka...
Napenda sana kabichi hasa ikipikwa na nyanya na kumix na dagaa wa mwanza wasiwe na mchuzi hatari hapo.Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Kabichi tunakulaga ili tuishi tu na si vinginevyo..😂Ni kwanini wanaume mnaichukia kabichi?
Skukuu yote hii nilitamani niwafukuze hawa wageni.
Asilimia kubwa wote waliiponda kabichi,
Mwingine anaita
Minyoo hiyo Mimi silagi.
Mwingine Nani ale mizizi hiyo?
Oooh sijawa ng'ombe hiyo kabichi usirudie kunitengea.
Huyu ndo balaa eti me yf akipika kabichi nikiikuta tu hadi sufuria alilopikia nalitupa,,, sipendi ujingaujinga.
Nimestaajabu sana kwa nini wanaume hampendi mboga ya kabichi?
Iliwafanya nini au INA nini kwenu?
Kila kitu kikiwa green ni kizuri kwa afya.Napenda sana kabichi hasa ikipikwa na nyanya na kumix na dagaa wa mwanza wasiwe na mchuzi hatari hapo.
Basi tatizo sio kabichi tatizo ni viungo anavyokuwekea mpishi wako kwenye hiyo kabichi,uzuri kabichi unaweza ifanya kama saladi bila kuweka kiungo kingine isipokuwa chumvi tuu na ukaenjoyyy,..Technically sipendi vyakula ambavyo vina spices kwa wingi au vimepikwa kwa mafuta mengi
Halafu ajabu ni kwamba kipindi niko primary, secondary nilikuwa mpenzi sana wa kabichi sana yani, sijui ilikuaje nikaanza ichukia. Watu wanapenda biriani mimi hapana sijawahi kula biriani likanibariki. Pilau nakula tu kama kula ila si kitu napenda. Mrenda ndo kabisa sipendi.Basi tatizo sio kabichi tatizo ni viungo anavyokuwekea mpishi wako kwenye hiyo kabichi,uzuri kabichi unaweza ifanya kama saladi bila kuweka kiungo kingine isipokuwa chumvi tuu na ukaenjoyyy,..
Halafu wanawake ndio wanapenda sana kula mivyakula yenye viuongo vingi na mifuta kibao ,ndio maana wakiwa bado hawajaolewa wanakuwa ma model ,wakishaolewa wanafutuka sana!!Technically sipendi vyakula ambavyo vina spices kwa wingi au vimepikwa kwa mafuta mengi
pole sana MkuuuTechnically sipendi vyakula ambavyo vina spices kwa wingi au vimepikwa kwa mafuta mengi